ecuador

Ecuador ( (listen) EK-wə-dor; Spanish pronunciation: [ekwaˈðoɾ] (listen); Quechua: Ikwayur; Shuar: Ecuador or Ekuatur), officially the Republic of Ecuador (Spanish: República del Ecuador, which literally translates as "Republic of the Equator"; Quechua: Ikwadur Ripuwlika; Shuar: Ekuatur Nunka), is a country in northwestern South America, bordered by Colombia on the north, Peru on the east and south, and the Pacific Ocean on the west. Ecuador also includes the Galápagos Islands in the Pacific, about 1,000 kilometres (621 mi) west of the mainland. The capital and largest city is Quito.The territories of modern-day Ecuador were once home to a variety of Amerindian groups that were gradually incorporated into the Inca Empire during the 15th century. The territory was colonized by Spain during the 16th century, achieving independence in 1820 as part of Gran Colombia, from which it emerged as its own sovereign state in 1830. The legacy of both empires is reflected in Ecuador's ethnically diverse population, with most of its 17.1 million people being mestizos, followed by large minorities of European, Native American, and African descendants. Spanish is the official language and is spoken by a majority of the population, though 13 Native languages are also recognized, including Quechua and Shuar.
The sovereign state of Ecuador is a middle-income representative democratic republic and a developing country that is highly dependent on commodities, namely petroleum and agricultural products. It is governed as a democratic presidential republic. The country is a founding member of the United Nations, Organization of American States, Mercosur, PROSUR and the Non-Aligned Movement.
One of 17 megadiverse countries in the world, Ecuador hosts many endemic plants and animals, such as those of the Galápagos Islands. In recognition of its unique ecological heritage, the new constitution of 2008 is the first in the world to recognize legally enforceable Rights of Nature, or ecosystem rights.According to the Center for Economic and Policy Research, between 2006 and 2016, poverty decreased from 36.7% to 22.5% and annual per capita GDP growth was 1.5 percent (as compared to 0.6 percent over the prior two decades). At the same time, the country's Gini index of economic inequality decreased from 0.55 to 0.47.

View More On Wikipedia.org
  1. JanguKamaJangu

    Ecuador: Watu wenye silaha wavamia studio ya TV matangazo yakiwa ‘LIVE’ na kuwateka Watangazaji

    Wanaume waliojifunika sura zao wamevamua Studio ya TV (TC Television) ya Umma katika Mji wa Guayaquil wakiwa na silaha za moto na marungu wakati wa matangazo yakiwa mubashara kisha kuwateka Wafanyakazi wa kituo hicho kwa muda. Imeelezwa hakuna mtu aliyeuawa katika tukio hilo ambalo lilizimwa na...
  2. Miss Zomboko

    Ecuador: Mfanyabiashara Daniel Noboa ashinda nafasi ya Urais

    Daniel Naboa Mfanyabiashara huyo wa chama cha mrengo wa kati-kulia, mwenye umri wa miaka 35, atakuwa rais wa kwanza mwenye umri mdogo zaidi Ecuador. Lakini anakabiliwa na changamoto kubwa. Baada ya asilimia 93 ya kura kuhesabiwa, Noboa alikuwa mbele kwa asilimia 52 huku Gonzalez akiwa wa pili...
  3. Mhaya

    Angelica Zambrano: Binti kutokea Ecuador aliyeenda Mbinguni na Kuzimu

    Hii ni makala ya yule msichana wa kule Ecuador aitwaye Angelica Zambrano. Huyu alichukuliwa na kupelekwa Mbinguni na Kuzimu. Kule kuzimu aliwakuta wasanii mbalimbali, akawakuta viongozi wa dini. Yaani yule mtu mliyemwamini sana, naye akakutwa huko. Tutaisoma yote. Ukiingia mitandaoni ipo ya...
  4. JanguKamaJangu

    Ecuador: Mgombea Urais auawa kwa kupigwa risasi

    Fernando Villavicencio ameshambuliwa wakati akitoka kwenye mkutano wa kampeni wa uchaguzi ujao wa Rais katika Mji wa Kaskazini wa Quito. Mwanasiasa huyo ambaye pia ni Mbunge baada ya kuhitimisha kampeni akiwa anelekea kupanda gari ndipo Mwanaume akajitokeza na kumpiga risasi tatu kichwani...
  5. Krama

    Nataka kwenda Ecuador

    Habari za mchana wana JF? Mimi nina mpango wa kusafiri kwenda Ecuador for a visit (well, opportunity seeking kind of). Sasa nimeona kwamba nikiwa na Passport ya Tanzania naweza kwenda Ecuador bila visa for up to 3 months! Ila sasa swali langu ni kwamba do i need extra proofs wakati wa...
  6. Mganguzi

    Tetesi: Kuna taarifa Qatar waliwahonga wachezaji 8 wa Ecuador mabilioni ya pesa!

    Nimesoma mahali kwamba Qatar iliwahonga wachezaji 8 wa ecuador mabilion ya pesa ili washinde mechi yao ya ufunguzi. Inasemekana huo mchezo ulishtukiwa na mashushu na wachezaji hao 8 hawatacheza mechi ya leo!
  7. JanguKamaJangu

    Ecuador hatarini kuondolewa kwenye World Cup 2022 kwa tuhuma za kudanganya Uraia wa mchezaji

    Ecuador ipo hatarini kuondolewa katika Kombe la Dunia 2022 kutokana na utata wa nyaraka za mchezaji wao, Byron Castillo, ikiwemo hati ya kusafiria ambapo inadaiwa beki huyo ni raia wa Colombia. Uchunguzi wa awali umebaini kuna cheti cha kuzaliwa kinachoonesha Castillo alizaliwa Colombia, lakini...
  8. beth

    Ecuador: Wafungwa zaidi ya 40 wauawa kwenye ghasia

    Takriban wafungwa 43 wameuawa kufuatia ghasia kati ya magenge hasimu ya Los Lobos na R7 kwenye gereza la Santo Domingo. Ecuador inapambana na wimbi la ghasia zinazohusisha magenge ya uhalifu, na hivi karibuni imeshuhudia vurugu mbaya zaidi katika historia Mbali na vifo, Jeshi la Polisi limesema...
  9. beth

    Ecuador yatangaza hali ya dharura kutokana na uhalifu wa magenge

    Rais Guillermo Lasso ametangaza Hali ya Dharura ya siku 60 katika Majimbo matatu kutokana na ongezeko la matukio ya uhalifu. Ecuador imeshuhudia ongezeko kubwa la mauaji na uhalifu unaohusiana na magenge Rais Lasso amesema amri ya kutotoka nje itawekwa na maelfu ya Wanajeshi na Maafisa wa...
  10. L

    Kuna shida gani kwenye magereza nchini Ecuador?

    Kwa wale wajuzi em share unachofahamu kuhusu magereza ya nchini Ecuador, maana kila mara ni mapigano na vifo. Na hii sio mara ya kwanza kutokea machafuko ndani ya magereza yao. How comes a well protected prison wafungwa wanakuwa na silaha tena za moto?
  11. The Sheriff

    Ecuador: Wafungwa 68 wauawa katika mapigano ya magenge hasimu

    Takriban wafungwa 68 wameuawa kwenye mapigano mapya katika gereza la Ecuador. Ghasia katika gereza la Litoral katika mji wa Guayaquil inasemekana zilianza Ijumaa jioni. Ripoti zinasema Polisi ambao wameingia kwenye majengo ya magereza wamekuta bunduki na vilipuzi. Zaidi ya wafungwa 100...
  12. Miss Zomboko

    Ecuador: Rais atangaza hali ya Hatari kwenye magereza yote kutokana na vifo 100 vya Wafungwa

    Rais wa Ecuador Guillermo Lasso ametangaza “hali ya hatari” katika magereza yote ya Ecuador, siku moja baada ya mapigano kati ya magenge hasimu ambayo yalisababisha vifo vya zaidi ya watu 100 katika jela moja kusini magharibi mwa nchi hiyo Septemba 28. “Nimetangaza hali ya hatari katika...
  13. Sam Gidori

    Ecuador: Waliofariki baada ya kutokea vurugu ndani ya magereza wafikia 27

    Idadi ya wafungwa waliofariki baada ya kutokea vurugu ndani ya gereza magereza mawili nchini Ecuador imefikia watu 27 huku serikali ya nchi hiyo ya pwani ya Magharibi mwa Amerika Kusini ikilazimika kutangaza hali ya hatari. Rais wa Nchi hiyo, Guillermo Lasso ameagiza kutumia kila linalowezekana...
Back
Top Bottom