Nyuki ni wazuri sana kwa kuwahutupa asali ila nyuki huyo huyo ukishindwa kufuata tahadhari anaweza kukuua kukupofusha macho au mambo kama hayo mengi sana .Nduguyenu nimekuja na code muhimu sana kwa wanaume ili waishi vizuri na wapenzi wao au wanawake wote kiujumla na hizi code ndio kuishi nao...
Uongozi wa Edeni
Rushwa kama upepo wa kusi, inavuma kwa kasi,
Inakita mizizi kila kona, inaibomoa Edeni,
Kila mtaa kila kijiji, maendeleo yanabuma,
Watu wanasaga meno na kulia, haki haipatikani.
Uzembe kazini unatisha, unaenea kama magugu,
Wafanyakazi wanalala, huduma zinakuwa mbovu,
Ufanisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.