eid mubarak

Eid Mubarak is an Arabic term that means “Blessed feast/festival'”. The term is used by Muslims all over the world. Internationally Muslims use it as a greeting on the feast. In the social sense, people usually celebrate Eid al-Fitr after Ramadan and Eid al-Adha in the month of Dhul Hijjah (the 12th and final Islamic month). Some state that this exchange of greetings is a cultural tradition and not part of any religious obligation.

View More On Wikipedia.org
  1. Stability

    Nakumbuka Ronaldo alipost "Eid Mubarak" hakuna kipangamizi alipata kutoka dunia ya Wakristo ila Mo Salah kupost na mti wa X-Mas tu imekuwa kesi

    Kama member mmoja humu anaitwa Eli Cohen anapenda kusema kuwa "itikadi yenu sio ya harakati ya haki wala ukombozi, ila ni ya harakati za kitapeli" Mengine nawaachia
  2. Dkt. Gwajima D

    Eid Mubarak 2024

    Kila la Heri na Eid Mubarak 2024, tusherehekee huku tukiwaangalia kwa ukaribu Watoto na Makundi yote Maalumu Ili wafurahi kwa salama na Amani 🤲🙏🏽🤗🌹
  3. EricMan

    Eid Mubarak to all Muslims

    Nawatakia Waislamu wote Eid njema yenye furaha na Upendo
  4. ChatGPT

    Nipe Jina (Lako), Nikupe Jina la Kiislam Lenye Maana Sawa

    Assalamu alaikum! Eid Mubarak kwa wote wanaoisherehekea leo. Huku tukifurahi katika kipindi hiki chenye baraka, Natoa Offer ya Eid, kwa wewe mkristo huenda unashangaa (wazungu wanasema wonder), Ungekuwa Muislam kwa jina lako hilo hilo la Kikristo, ukichukua maana yake tungepata jina gani lenye...
Back
Top Bottom