The ELA 07 is a series of Spanish autogyros, designed and produced by ELA Aviación of Córdoba, Andalusia. The aircraft are supplied complete and ready to fly.
Husika na mada tawa hapo juu, huu ni mwaka Wa pili, chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamekataa kutoa kadi ya bima kwa wanafunzi. Huwezi kufanyiwa registration hadi ulipe ela ya bima na costs nyigine, lakini hawatowi kadi za bima. Wanatoa tu namba ya bima. Hii imekuwa changamoto kupata...
Mimi ni katibu wa kikundi fulani nimejafibu kuanziaha hatua za kufanya muamala M Mkoba lakini imeshindikana tangu Jumamosi.
Nimejaribu kuongea na watoa huduma voda lkn majibu yao hayaeleweki
Kama ni suala la mtandao mbona ela ya kutumwa Mkoba inakubali lakini ya kutoka haifanikiwi!!?
Toeni...
Kumpa simba Matola na Cadema ata kwa siku 3 ni ujanja ujanja tu.
Kama mgunda akipewa timu mechi ya kwanza tu atafanya wonderful na na Mo atamuelewa hivyo viongozi kukosa upigaji mwingine ws kutosha kupitia.
1. Kugawana posho na marupurupu na kocha huyo.
2. Kupiga dili kupata sehemu ya...
Nina mahusiano na mwanaume kazi yake ni udereva, tulianza mahusiano mwaka Jana mwezi wa 11 hadi sasa tuko pamoja huyu mwanaume ana cheti kizuri tu cha kidato cha nne hata pharmacy anaweza soma akihitaji lakini hataki kwenda shule anasema anapenda udereva
Shida ni kwamba hana pesa anasema...
Kuna mazingira kama haya, umekopa pesa kwa mtu uizungushe ikaferi, matarajio ulipe Kodi, mama mwenye nyumba ulishamuahidi MWEZI WA 10 tarehe 18 unampatia pesa yake leo tarehe 2. Aiseeee na ingebidi MWEZI uliopota umalize deni.
Maokoto zero kula kwenyewe kumekuwa kwa tabu saaana, kulala njaa...
Eti matajiri wanaokota mtu cheap kabisa wanampa timu.
Ukiangalia CV yake yote kafundisha timu za under 20 tu. Timu za watoto wa damu changa na akili ndogo kabisa unategemea ataleta nini kwa klabu kongwe. Leo mnataka miujiza gani.
Aliyekula asilmia hapa Hana huruma kabisa. Timu bovu kuliko...
Walikuwa wananiambia oa nawaambia bado kwanza hawaelewi kwa nini kumbe mwenzao natafuta pesa kwanza, vijana wengi siku hizi wanaowa wakiwa bado hawana hela
Halafu wake zao tunakuja kuwala sisi wenye hela sababu nimekuwa nikiona wakina pale dukani kwangu wanavyobabaika wadada wazuri walitaka...
Hahahahaa kweli kuna watu wajanja:fei kala ela za wajinga alafu waliochanga pesa ni simba.
Alafu kaenda azam duh hii inaitwa turn over a k.a u turn.
Hivi simba mnashida gani?
Mbona akili ndogo sana.
Viongozi wenu waajabu sana.
Ela imeliwa na muhuni fei toto.
Mmeshupaza shingo kiko...
Bodi ya mkopo ya elimu ya juu hutoa mikopo kwa wanafunzi wenye vigezo na sifa zinazo stahili kupokea ambapo fedha hizo hujumuisha Ada , field, book and stationary na research ambapo kama mwanafunzi akibahatika kupata vyote huwa ni nafuu kwa mzazi.
Lakini mwaka huu 2022 kwa wanafunzi wengi wa...
Habari wana jamii,
Naomba mnishauri, mimi ni mfanyakazi serikalini. Muda mrefu nafikiria biashara ya kufanya lakini nashindwa. Sasa hivi nimeamua kuanza kufuga kuku chotara. Nataka kununua kuku chotara vifaranga mia moja. Nivitunze na kuvilisha vzr, lengo nataka muda ukifika 40 niviuze halafu 60...
Hii mada niliikuta sehemu imezua mjadala mkali sana baina ya mtoto (mwanafunzi) na mama yake wakati wakifanya manunuzi ya stationery za kwenda shule Januari hii.
Mama anashikilia kwamba hela ni hatari kwa mtoto (hasa wa bweni) kwamba yeye mama enzi zake kama mwanafunzi hakupewa hela ambazo...
Habari zenu ndugu zangu, naombeni ushauri wenu kwenye ili naamini uku jukwaani kuna wenye ushauri bora zaidi na wenye experince na mambo mbalimbali, mimi ni kijana wa umri wa miaka 41, kwetu tumezaliwa 4 ila kwa sasa tumebaki 3 baada ya mmoja bahati mbaya kufariki miaka 6 iliyo pita, mimi ni...
Mashine ya kuhesabia Hela
bei ya offer 330,000/=
Free delivery
Condition: New
Tupigie 0745146690 / 0656190449
Ofisi yetu ipo Kinondoni Studio
CHRISTMAS OFFER
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.