eli mpanzu simba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Shida ya simba ni namba 10, au winga ya Mpanzu?

    Simba naona shida ni number10. simba aitengenezi nafasi za kutosha , magori ni chances created. Simba inacheza big games, inatengeneza 2-3 chances . ila small games mpira unaonekana sana. huyu Mpanzu winger wa nini simba?? na chances ndo shida yetu. wanasimba ebu tuongee mpira, shida ya hiki...
  2. King Leon 1

    Nawashauri Simba SC wamrudie tena Elia Mpanzu amerudi kwao Congo, waachane na mchezaji wao wa ovyo

    Nimeona taarifa juu ya uyu mchezaji Elias Mpanzu ambae Simba ilijaribu kutumia nguvu kumpata ila wakashindwa kwasababu ya ofa kubwa toka ulaya ,kwa bahati mchezaji uyo ameshindwa vigezo vya kujiunga na timu iyo ya ubelgiji na kurudi kwao Congo. Nawasihi viongozi wa Simba kama kweli wanataka...
Back
Top Bottom