Habari marafiki,
Nataka kuwataarifu kuhusu andiko jipya lililochapishwa na Bwana Elia Wilinasi kwenye journal ya kimataifa inayoitwa (Geoenergy Science and Engineering) kuhusu uzalishaji wa gesi. Journal hii ina impact factor (IF) ya 5.168 na CiteScore ya 8.1 kwa mwaka 2021.
Ikumbukwe journal...
Elia Wilinasi amechapisha andiko la tafiti linalohusu uzalishaji wa mafuta kwenye journal ya kimataifa inayoitwa Energies.
Kichwa cha andiko: Numerical Simulation of the Oil Production Performance of Different Well Patterns with Water Injection
Link: Numerical Simulation of the Oil Production...
Kwako mama yetu Samia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Natumai umzima wa afya njema na unaendelea na shughuli zako za kiofisi.
Mama, ndugu yetu Elia Wilinasi ni kijana safi mwenye weledi na mzalendo anayetamani kukitumikia chama cha mapinduzi katika ngazi za juu na taifa kwa ujumla...
Nimejaribu kusoma CV ya huyu kijana anaitwa Elia Wilinasi nimeshituka sana.
Hii ndio CV yake https://www.linkedin.com/in/elia-wilinasi-a08443175
Kama mnakumbuka nimewahi kuleta uzi mmoja uliokua unaeleza jinsi alivyo toa ushauri kuhusu bei ya mafuta, gesi and mbolea na hatua ambazo serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.