elias mwaimse

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mbeya: Elias Mwaimse ashikiliwa kwa tuhuma za kuvunja ofisi na kuiba bastola aina ya Short Gun

    Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga ameeleza kuwa Jeshi la Polisi linamshikilia Elias Obadia Mwaimse [30] Mkazi wa Mikoroshini Wilaya ya Kyela kwa tuhuma ya kuvunja ofisi mchana na kuiba silaha moja aina ya Short Gun yenye namba T.26444, TZ CAR NA.55089 na risasi zake 17...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…