elimu maalum

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Msaada Vyuo vya ELIMU maalum ngazi stashahada (diploma) hususan Kwa viziwi

    Habari za mchana. Ninahitaji kujua vyuo vya serikali vinavyotoa diploma ya ELIMU maalum kwa viziwi,. Nimejaribu kupitia mtandaoni nimeona ni Kabanga-Kasulu na Mpwapwa-Dodoma ndio vinavyotoa diploma ya ELIMU maalum ila kwakuwa lengo langu ni kusoma ya viziwi na sijui kama hivyo vyuo vinacourse...
  2. M

    Serikali iongeze zaidi wataalamu wa elimu maalum ya lugha za ishara na alama

    UMUHIMU WA KUENEA KWA ELIMU MAALUM YA LUGHA ZA ISHARA NA ALAMA 1) Itasaidia ongezeko la wataalam ; hii ni pale tunaelimisha zaidi kuwa kila mtu ana haki ya kupata elimu. Elimu maalum kwa ajili ya wasio ona,wasio sikia, Autism, na watu wengine wenye mahitaji maalumu hawa huwa na uwezo mkubwa...
  3. K

    SoC03 Maboresho katika utoaji wa elimu maalum katika kuchochoea maendeleo kwa wenye ulemavu

    Elimu maalum ni aina ya elimu inayolenga kutoa mafunzo na huduma za elimu kwa watu wenye mahitaji maalum au ulemavu. Mahitaji maalum yanaweza kuwa ya kimwili, kiakili, kihisia au ya kujifunza. Elimu maalum inalenga kutoa fursa sawa za elimu kwa watu wenye ulemavu ili waweze kufikia uwezo wao...
  4. N

    Taasisi ya Boys Initiave yatoa elimu maalum ikiwemo afya ya akili kwa wanafunzi wa kiume

    Taasisi isiyo ya Kiserikali ya 'Boys Initiave' imetoa elimu maalum ikiwemo afya ya akili kwa wanafunzi wa kiume katika shule ya Sekondari ya ALFA iliyoko Mikocheni, Kinondoni Jijini Dar es Salaam, Akizungumzia elimu hiyo Mkurugezi Mtendaji wa taasisi hiyo, Dayana Rose Alfred Rweyemamu amesema...
  5. Elimu maalum ina fursa ya ajira?

    Naombeni mnisaidie wapendwa, Elimu maalum ina fursa ya ajira?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…