"Mwalimu, nadhani ni muhimu sana elimu ya maadili kufundishwa kwa wanafunzi mara tu wanaporipoti vyuoni.
Hii ni kwa sababu inawasaidia kujenga msingi bora wa tabia, kufanya maamuzi ya kimaadili, na kujifunza jinsi ya kuishi vyema na wengine katika mazingira ya kijamii na kitaaluma.
Pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.