Maafisa maendeleo ya Jamii pamoja na Watendaji wa Serikali wilayani Nyang’hwale, mkoani Geita, wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa vijana kuhusu matumizi sahihi ya mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Serikali, ili kuwawezesha kujikwamua kiuchumi na kuachana na utegemezi.
Wito huo umetolewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.