elisha osati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. jingalao

    Dkt. Elisha Osati anaenda kuongelea hali ya Covid 19 Tanzania kama nani?

    Nimeona Tangazo kwenye jumbe za watsapp ikionesha kuwa kitakuwa na mjadala kuhusu wimbi la tatu la corona nchini Tanzania. Katika mjadala huo nimeona mwenyekiti wa MAT pamoja na Mwenyekiti aliyemaliza muda wake. Ieleweke kuwa kujadili covid sio tatizo ila ni muhimu pia sheria tulizojiwekea...
  2. jingalao

    Sikutegemea Elisha Osati na H Kigwangalla kuonesha usaliti wa mapema hivi

    Watu hawa wameandaa au kuandaliwa mjadala wenye maudhui ya usaliti kwa Hayati Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli. Nimewashangaa wataalamu hawa wa tiba ambao hawana weledi wala uzoefu wa maswala ya chanjo kujivika joho la utaalamu na kuongelea chanjo ya covid 19 Tanzania. Kwa ufupi hawajui...
  3. Roving Journalist

    Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

    Hayo yamesemwa na Dr. Elisha Osati, Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) leo Mei 27, 2020 FULL TEXT: Leo tumekuja kuzungumza nanyi Waandishi wa Habari kuhusu tathmini ya Corona hapa nchini. Ikumbukwe tangu Corona imeingia hapa nchini Mwezi wa tatu kumekuwa na mambo mengi yakiwa...
Back
Top Bottom