Mshindi mara mbili wa Olimpiki, Mkenya Eliud Kipchoge, ameshinda kwa kuvunja rekodi yake mwenyewe na kuweka rekodi mpya ya dunia katika mbio za Berlin marathon Jumapili.
Akivuka mstari ndani ya saa mbili tu, dakika moja na sekunde tisa aliwahi kwa sekunde 30 kutoka kwenye rekodi yake ya awali...
Bingwa wa mbio za Marathon za Olimpiki mara mbili Eliud Kipchoge ameshinda mbio za Berlin Marathon kwa kuweka rekodi mpya. Kipchoge alishinda mbio hizo kwa kukimbia saa 2:01:09 katika mbio za maili 26.2.
Ameshinda rekodi yake ya Dunia kwa tofauti ya sekunde 30 dhidi ya Mark Korir aliyeibuka wa...
Mwanariadha wa Kimataifa kutoka Kenya, Eliud Ameshinda Tokyo Marathon Kwa muda 2:02:40 huko Japan, Hadi Sasa Ameshinda Mashindano Makubwa manne (4), anatarajiwa kushiriki Boston Marathon itakayofanyika April 18, 2022 na New York Marathon itakayofanyika November 22, 2022.
Picha Kwa hisani ya...
Jamaa mwamba sana huyu, kha!!
SAPPORO, Japan (Reuters) - Kenya’s Eliud Kipchoge won the Olympic men’s marathon with a commanding performance in Sapporo on Sunday, winning his second straight gold medal and cementing his place among the all-time greats of the sport.
Abdi Nageeye of the...
======
What Happened to Eliud Kipchoge in London?
By Cathal Dennehy
Eliud Kipchoge said he experienced an issue with his right ear during the London Marathon, which led to his subpar performance.
In cold and rainy conditions, the world-record holder finished eighth in 2:06:49...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.