SERIKALI YA TANZANIA IELEZE UKWELI VISA VYA UGONJWA WA MARBUG
ACT Wazalendo tunaitaka Wizara ya Afya ya Tanzania, kueleza ukweli kuhusu mlipuko wa ugonjwa hatari wa Marbug, na itangaze hatua za tahadhari kuzuia kuenea ugonjwa huo Mkoani Kagera.
Kufuatia taarifa iliyochapishwa kwenye mtandao wa...