An emergency is a situation that poses an immediate risk to health, life, property, or environment. Most emergencies require urgent intervention to prevent a worsening of the situation, although in some situations, mitigation may not be possible and agencies may only be able to offer palliative care for the aftermath.
While some emergencies are self-evident (such as a natural disaster that threatens many lives), many smaller incidents require that an observer (or affected party) decide whether it qualifies as an emergency.
The precise definition of an emergency, the agencies involved and the procedures used, vary by jurisdiction, and this is usually set by the government, whose agencies (emergency services) are responsible for emergency planning and management.
Ukweli usemwe.
Hakika naiona coordination ya hali ya juu namna Team ya kukabiliana na Majanga Dar es Salaam inavyoweza kupambana na majanga ya kipekee na ya aina tofauti tofauti.
Tuendelee kutambua mapungufu ili wayaboreshe siku hadi siku.
Mungu awape nguvu frontliners wote na wananchi kwa...
Umepatwa na emergence inayohiitaji pesa cash milioni 10 ndani ya lisaa, sio vifaa vya ujenzi vya nyumba unayojenga, Gari, kiwanja, shamba, mzigo wa stoo, n.k.
Yaweza kuwa:
1. Tatizo la kiafya (Kufa au kupona)
2. Mapolisi (Ujichomoe haraka au kifungo cha maisha).
3. Mtoto katekwa (wakivuka...
Kwa mtu ambaye hana passport kubwa, akipata safari ya ghafla kwenda mojawapo ya nchi kama AFRIKA KUSINI, BOTSWANA, NAMIBIA, n.k., anaweza kutumia EMERGENCY TRAVEL DOCUMENT?
Hiyo huwa inapatikana haraka sana, unaweza ukaipata siku iyo hiyo uliyoiomba.
Afrika Kusini itakubali kumpokea...
Iran Issues NOTAM for "Military Action." IRGC Commanders did not show up at prayer ceremony
AUGUST 01, 2024
The government of Iran has issued Notice(s) to Air Missions (NOTAM) closing certain air space in their country for "military Action / Emergency" which may mean missile launches...
Happy union day everyone!
Leo nimewaza hiki kitu nikaona si vibaya kushare kinaweza kumsaidia mtu mahali.
Hivi ulishajiuliza incase umepata emergency yoyote mahali, ikatokea hujielewi, watu watakusaidiaje?
Mfano, umepata ajali, au umepoteza simu yako.
Maana simu zetu muda wote zinakuwa na...
Nimesoma vitabu na kusikiliza hotumbq mbalimbali youtube na machapisho kadhaa ya uchumi binafsi ( personal economy) nimeona wote wanasisitiza mtu kuwa na EMMERGENCY Fund.
Hiki ni kiasi ambacho umekitunza kiko standby kwa lolote litakalokupata ghafla. Kama ni mfanyabiashara au muajiriwa ni kiasi...
Call For Expression Of Interest (Eoi)
Wfp Emergency (Cash Or In-Kind Food) Response
Csp 2022-2027 Strategic Outcome 1 – Crisis Response
BACKGROUND
WFP Tanzania is seeking Expressions of Interest (EOls) from competent national and international NGOs with presence and operations in Tanzania...
Inawezekana yasemwayo ni ya ukweli kuwa Maharage aliondolewa Tanesco na Siasa za wafanyakazi wa ndani, ambapo mifumo ya Maharage ilirahisisha kupata huduma na kupunguza bureaucracy hivyo kufanya mianya ya rushwa baina ya mteja na TANESCO kupungua.
Toka Maharage ameondoka TANESCO kitengo Cha...
Wanaukumbi.
The Biden administration has
used an emergency authority to allow the sale of about 14,000 tank shells to Israel without congressional review, the Pentagon said on Saturday.
The state department on Friday used an Arms Export Control Act emergency declaration for the tank rounds...
Pamoja na hawa watu kujimwambafy kwamba wamepitisha hili azimio ovu biggest majority wanaugulia maumivu .ombi langu kwa hawa wafuatao.
1. Naomba experts wa JF waandae petition kukataa haya maazimio ambayo in reality hayareflect maoni ya wananchi.
2. Ombi la pili naomba expert wa jf waandae...
Tahadhali ubungo stendi ya daladala si salama.
Stend ya daladala njia ya ngazi inayounganisha stend yq juu na chini sio salama. Sio usiku mchana Wala jioni watu ni wengi sana.
Lete watu wenu wananusalama wasaidie yaani msongamano madhara makubwa yatatokea.
Wizi.
Magonjwa.
KERO.
Nktafadhalini
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa ugonjwa wa UVIKO-19 sio tena "dharura ya afya duniani".
Taarifa hiyo inawakilisha hatua kubwa kuelekea kumaliza janga hili na inakuja miaka mitatu baada ya kutangaza kiwango chake cha juu zaidi cha tahadhari juu ya virusi.
=============
The World...
Na je, Maadui ( wenye Utaalam na walioiva Kimedani ) hawawezi kutumia Crisis ya Kukosekana kwa Maji na Umeme katika Taifa lolote duniani katika Kujipanga Kimashambulizi na hata Kuliharibu ( Kuliteketeza ) Taifa na Kizazi chake?
ONYO
Katika haya Maelezo yangu hapa sijaitaja nchi yoyote ile sasa...
Kumekuwa na sinto fahamu mitandaoni kila mmoja akiongea lake ikiwemo manusura wa ajali ya ndege iliyotokea mkoani Kagera.
Ni kweli ukisikikiza maoni ya watu kwa makini unaona kuna hoja hapa ya kujadili, je mlango wa Emergency wa ndege ni upi hapa, muokoaji alitumia dhana gani kuufungua? Au...
Kwa rejea ya pendekezo la Abdul Nondo kuhusu majanga na desirable responsiveness and proactive plans za kimamlaka, nimeanza na brainstorming ya jina la chombo hicho, karibuni wadau kwa maoni mbali wizara mama mlezi iwe ipi na kwanini.
Hayo machache. nawasilisha wakuu.
1. Umeme wa taabu
2. Maji hakuna hata ya Kuchambia Nnya
3. Maharage Bei Juu
4. Condoms za Kuazimana
5. Watu Milioni Saba ni Mataahira
6. Anayetakiwa kutujali Watanzania kipindi cha shida hatujali na ndiyo anataka kwenda Kuchanja tena Uviko 19 kwa Wachina
7. Wananchi hatuaminiani tena...
Wazee nauza tire/tyre mobility kit, hii ni pump ya kuzaja upepo kwa emergency ama hata nyumbani pia inatumia umeme wa gari, unachomeka kwenye kibiriti pale, mambo mswano. Nimetestia kujazia tairi ya nissan xtrail na ikajaza 30psi ila gauge inaruhusu mpaka 90psi
Ndani ya kit unapata/unakuta.
1...
Maafisa wa afya ya umma nchini Marekani wametangaza kuenea kwa ugonjwa wa Homa ya Nyani kuwa ni dharura ya afya ya umma. Tamko hilo litaweka huru rasilimali za ziada za serikali kusaidia kudhibiti kuenea kwa virusi.
Kufikia Agosti 3, zaidi ya kesi 6,600 za marehemu zilikuwa zimethibitishwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.