emergency

An emergency is a situation that poses an immediate risk to health, life, property, or environment. Most emergencies require urgent intervention to prevent a worsening of the situation, although in some situations, mitigation may not be possible and agencies may only be able to offer palliative care for the aftermath.
While some emergencies are self-evident (such as a natural disaster that threatens many lives), many smaller incidents require that an observer (or affected party) decide whether it qualifies as an emergency.
The precise definition of an emergency, the agencies involved and the procedures used, vary by jurisdiction, and this is usually set by the government, whose agencies (emergency services) are responsible for emergency planning and management.

View More On Wikipedia.org
  1. Mad Max

    Hii likizo ya Emergency DAWASA haiwahusu: Kuweni Serious basi!

    Aisee DAWASA kuweni serious na maisha ya watu. Tunataka maji aisee.
  2. jingalao

    Emergency response team ya Dar es Salaam imekua kulinganisha na zamani

    Ukweli usemwe. Hakika naiona coordination ya hali ya juu namna Team ya kukabiliana na Majanga Dar es Salaam inavyoweza kupambana na majanga ya kipekee na ya aina tofauti tofauti. Tuendelee kutambua mapungufu ili wayaboreshe siku hadi siku. Mungu awape nguvu frontliners wote na wananchi kwa...
  3. G

    Umepatwa na Emergency ya milioni 10, Unatoboa?

    Umepatwa na emergence inayohiitaji pesa cash milioni 10 ndani ya lisaa, sio vifaa vya ujenzi vya nyumba unayojenga, Gari, kiwanja, shamba, mzigo wa stoo, n.k. Yaweza kuwa: 1. Tatizo la kiafya (Kufa au kupona) 2. Mapolisi (Ujichomoe haraka au kifungo cha maisha). 3. Mtoto katekwa (wakivuka...
  4. GoldDhahabu

    Emergency Travel Document inakubalika Afrika Kusini?

    Kwa mtu ambaye hana passport kubwa, akipata safari ya ghafla kwenda mojawapo ya nchi kama AFRIKA KUSINI, BOTSWANA, NAMIBIA, n.k., anaweza kutumia EMERGENCY TRAVEL DOCUMENT? Hiyo huwa inapatikana haraka sana, unaweza ukaipata siku iyo hiyo uliyoiomba. Afrika Kusini itakubali kumpokea...
  5. A

    Simu ya Samsung A12 laini zinasoma 'emergency'. Shida ni nini?

    Habari wadau? Natumia simu ya samsung A12, nilirestore simu na baada ya kuweka line zinasom emergency shida itakua ni nini?
  6. Mathanzua

    The government of Iran has issued Notice(s) to Air Missions (NOTAM) closing certain air space in their country for "military Action / Emergency

    Iran Issues NOTAM for "Military Action." IRGC Commanders did not show up at prayer ceremony AUGUST 01, 2024 The government of Iran has issued Notice(s) to Air Missions (NOTAM) closing certain air space in their country for "military Action / Emergency" which may mean missile launches...
  7. K

    Safety and emergency settings in your phone

    Happy union day everyone! Leo nimewaza hiki kitu nikaona si vibaya kushare kinaweza kumsaidia mtu mahali. Hivi ulishajiuliza incase umepata emergency yoyote mahali, ikatokea hujielewi, watu watakusaidiaje? Mfano, umepata ajali, au umepoteza simu yako. Maana simu zetu muda wote zinakuwa na...
  8. matunduizi

    Emergency fund: Unatumia njia ipi kujiwekea aina hii ya akiba?

    Nimesoma vitabu na kusikiliza hotumbq mbalimbali youtube na machapisho kadhaa ya uchumi binafsi ( personal economy) nimeona wote wanasisitiza mtu kuwa na EMMERGENCY Fund. Hiki ni kiasi ambacho umekitunza kiko standby kwa lolote litakalokupata ghafla. Kama ni mfanyabiashara au muajiriwa ni kiasi...
  9. Jamii Opportunities

    Call For Expression Of Interest (Eoi) at World Food Programme Emergency (Cash Or In-Kind Food) Response January, 2024

    Call For Expression Of Interest (Eoi) Wfp Emergency (Cash Or In-Kind Food) Response Csp 2022-2027 Strategic Outcome 1 – Crisis Response BACKGROUND WFP Tanzania is seeking Expressions of Interest (EOls) from competent national and international NGOs with presence and operations in Tanzania...
  10. U

    Tangu Maharage aondoke, TAnesco emergency simu shida, Umeme kuunga tabu

    Inawezekana yasemwayo ni ya ukweli kuwa Maharage aliondolewa Tanesco na Siasa za wafanyakazi wa ndani, ambapo mifumo ya Maharage ilirahisisha kupata huduma na kupunguza bureaucracy hivyo kufanya mianya ya rushwa baina ya mteja na TANESCO kupungua. Toka Maharage ameondoka TANESCO kitengo Cha...
  11. Ritz

    Biden administration uses emergency authority to sell tank shells to Israel

    Wanaukumbi. The Biden administration has used an emergency authority to allow the sale of about 14,000 tank shells to Israel without congressional review, the Pentagon said on Saturday. The state department on Friday used an Arms Export Control Act emergency declaration for the tank rounds...
  12. Escrowseal1

    Emergency call kwa wazarendo wa nchi yetu ambao hawajaridhia maazimio ya bunge la CCM.

    Pamoja na hawa watu kujimwambafy kwamba wamepitisha hili azimio ovu biggest majority wanaugulia maumivu .ombi langu kwa hawa wafuatao. 1. Naomba experts wa JF waandae petition kukataa haya maazimio ambayo in reality hayareflect maoni ya wananchi. 2. Ombi la pili naomba expert wa jf waandae...
  13. Annie X6

    Mkuu wa Mkoa was Dar es Salaam tuma watu wako Mbezi Louis

    Tahadhali ubungo stendi ya daladala si salama. Stend ya daladala njia ya ngazi inayounganisha stend yq juu na chini sio salama. Sio usiku mchana Wala jioni watu ni wengi sana. Lete watu wenu wananusalama wasaidie yaani msongamano madhara makubwa yatatokea. Wizi. Magonjwa. KERO. Nktafadhalini
  14. BARD AI

    WHO yatangaza kumalizika kwa Dharula ya janga la COVID-19 duniani

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa ugonjwa wa UVIKO-19 sio tena "dharura ya afya duniani". Taarifa hiyo inawakilisha hatua kubwa kuelekea kumaliza janga hili na inakuja miaka mitatu baada ya kutangaza kiwango chake cha juu zaidi cha tahadhari juu ya virusi. ============= The World...
  15. GENTAMYCINE

    Hivi Taifa lolote likiwa na 'Crisis' ya Maji na Umeme 'Kiusalama' kutangaza 'State of Emergency' ni Kosa au Kujidhalilisha?

    Na je, Maadui ( wenye Utaalam na walioiva Kimedani ) hawawezi kutumia Crisis ya Kukosekana kwa Maji na Umeme katika Taifa lolote duniani katika Kujipanga Kimashambulizi na hata Kuliharibu ( Kuliteketeza ) Taifa na Kizazi chake? ONYO Katika haya Maelezo yangu hapa sijaitaja nchi yoyote ile sasa...
  16. Expensive life

    Huu mlango wa Emergency wa ndege unaozungumzwa ndio upi wajuzi naomba mnijuze

    Kumekuwa na sinto fahamu mitandaoni kila mmoja akiongea lake ikiwemo manusura wa ajali ya ndege iliyotokea mkoani Kagera. Ni kweli ukisikikiza maoni ya watu kwa makini unaona kuna hoja hapa ya kujadili, je mlango wa Emergency wa ndege ni upi hapa, muokoaji alitumia dhana gani kuufungua? Au...
  17. Pang Fung Mi

    Pendekezo la Kuundwa Tanzania Emergency and Rescue Agency (TERA)

    Kwa rejea ya pendekezo la Abdul Nondo kuhusu majanga na desirable responsiveness and proactive plans za kimamlaka, nimeanza na brainstorming ya jina la chombo hicho, karibuni wadau kwa maoni mbali wizara mama mlezi iwe ipi na kwanini. Hayo machache. nawasilisha wakuu.
  18. GENTAMYCINE

    Legal Guru mlioko hapa JamiiForums Taifa lolote likiwa na yafuatayo kutangaza 'State of Emergency' ni vibaya?

    1. Umeme wa taabu 2. Maji hakuna hata ya Kuchambia Nnya 3. Maharage Bei Juu 4. Condoms za Kuazimana 5. Watu Milioni Saba ni Mataahira 6. Anayetakiwa kutujali Watanzania kipindi cha shida hatujali na ndiyo anataka kwenda Kuchanja tena Uviko 19 kwa Wachina 7. Wananchi hatuaminiani tena...
  19. makaveli10

    Tire/tyre mobility kit (pump ya emergency) inauzwa

    Wazee nauza tire/tyre mobility kit, hii ni pump ya kuzaja upepo kwa emergency ama hata nyumbani pia inatumia umeme wa gari, unachomeka kwenye kibiriti pale, mambo mswano. Nimetestia kujazia tairi ya nissan xtrail na ikajaza 30psi ila gauge inaruhusu mpaka 90psi Ndani ya kit unapata/unakuta. 1...
  20. Willima

    Marekani yatangaza Monkeypox kuwa dharura ya afya ya umma

    Maafisa wa afya ya umma nchini Marekani wametangaza kuenea kwa ugonjwa wa Homa ya Nyani kuwa ni dharura ya afya ya umma. Tamko hilo litaweka huru rasilimali za ziada za serikali kusaidia kudhibiti kuenea kwa virusi. Kufikia Agosti 3, zaidi ya kesi 6,600 za marehemu zilikuwa zimethibitishwa...
Back
Top Bottom