emmanuel cherehani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    RC awaka nyaraka za AMCOS kutuzwa kwenye Jaba

    Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amewataka Viongozi wa Chama cha Msingi Kisuke katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama kusitisha utunzaji wa nyaraka za ofisi katika Jaba lililokuwa katika Ghala la kuhifadhia Zao la Pamba. RC Macha ametoa agizo hilo leo wakati akiendelea na...
  2. Cute Wife

    Pre GE2025 Mbunge Cherehani akabidhi baiskeli kwa wakulima 40 ziwasaidie kufatilia mwendo uzalishaji pamba msimu wa 2024/2025. Rushwa inazidi kutamalaki!

    Wakuu, Mbunge wa Jimbo la Ushetu Emmanuel Cherehani ambekabidhi Baiskeli kwa Wakulima 40 wa Mfano kwa Zao la Pamba Halmashauri ya Ushetu, ambazo zitawawezesha kufuatilia mwenendo wa uzalishaji Pamba kwa Msimu huu wa kilimo 2024/2025. Akizungumza wakati wa kukabidhi baiskeli hizo Cherehani...
  3. Stephano Mgendanyi

    Pre GE2025 Mbunge Cherehani atoa Madawati 975, awasihi wanawake kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    MBUNGE CHEREHANI ATOA MADAWATI 975 YA MIL 63.3: MAADHIMISHO MIAKA 47 YA CCM Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani kupitia Ofisi ya mbunge ametoa madawati 975 yenye thamani ya Shilingi 63,375,000 ili kuimarisha sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanafunzi wanakuwa na...
Back
Top Bottom