eneo abiria feri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Majengo ya kusubiria abiria Ferry Magogoni na Ferry Kigamboni ni kama jela/mahabusu

    Inasikitisha sana majengo yetu ya ferry za Magogoni na Kigamboni kuwa kama mahabusu. Ndani mnalundikwa utadhani mbuzi wako Vingunguti wanasubiri kuchinjwa. Hamna viburudisho wala miundombinu rafiki. Serikali heshimuni afya na haki za wateja wa vivuko vyenu, wanahitaji mazingira mazuri na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…