eng. matarra

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mwanamwana

    Vyama vya Siasa, Viongozi na Wanaharakati waache kugombania wananchi wanaokumbana na mkono wa sheria ili kujinufaisha

    Salaam wakuu, Miaka ya hivi karibuni kumeibuka tabia hii mbaya ya kutumia wananchi wanaokumbwa na matatizo mbalimbali hasa wanaokumbana na mkono wa sheria. Imefika wakati hadi wanamgombania kama mpira wa kona raia aliye kwenye matatizo husika ili kila mmoja basi aonekane akijali tatizo lake...
  2. MamaSamia2025

    Habari ya Eng. Matarra iwe funzo kwa vijana wengine wa upinzani wanaodhani CHADEMA itasimama nao wakipatwa na matatizo

    Eng. Japhet Matarra ni kada kindakindaki wa CHADEMA ambaye kwa sasa yuko gerezani Karanga Moshi kwa zaidi ya mwaka mmoja baada ya kuhukumiwa kwa kufanya makosa ya mtandaoni. Ilikuwa aende jela au alipe faini ya Tsh 7m ila kwa bahati mbaya huyu kijana hakuwa na hizo pesa ikambidi aende jela...
Back
Top Bottom