Habari wanaJamiiForums,
Nisizunguke sana. Ni kama tanagzo linavyojieleza. Wanahitajika vijana wawili ambao wana uwezo mzuri sana wa kuchambua habari za burudani (Gossip), matukio nk. Ambae anaweza kufanya kazi akiwa nyumbani.
Kuna youtube channel ambayo imenza kupokea matangazo na tayari...
Erling Haaland ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi.
➜ 69 - Games.
➜ 70 - Goals scored.
Ni wachezaji wawili pekee kwenye historia waliofunga Hat-tricks back to back mara mbili katika ligi kuu ya England (EPL) 🙌
Harry Kane :
⚽⚽⚽ vs Burnley...
BIG 20
Hii ni project/movement iliyoanzishwa na media personalities pamoja na wadau wa Muziki jijini Mbeya lengo kuu ikiwa ni kuhakikisha kuwa Muziki na wanamuziki wa mkoa wa Mbeya wanapata jukwaa huru na la uhakika katika kufanya kazi zao.
Wakiongea na jukwaa hili waratibu wa movement hii...
Movies aren't just fun; they can be powerful tools for understanding and managing our emotions. We all know how a sad film can bring on tears or a comedy can lift our spirits. But what if movies could be used to delve deeper, to explore and process difficult emotions in a safe space?
A photo...
Kuelekea mechi dhidi ya Yanga SC
"Kwa aina yetu ya uchezaji tunastahili kupata sapoti kubwa kuliko tunayopata. Msimu uliopita tulishinda Ubingwa wa ligi lakini uwanja ulikuwa mtupu.
"Tunahitaji kelele zaidi, watu wengi zaidi kwenye siti (Uwanjani) na kwa kweli nafikiri tunastahili kwa sababu...
"Kushinda ugenini imewapa hali ya kujiamini wachezaji wangu, nimewaambia Mchezo bado haujaisha tunapaswa kucheza kana kwamba hatujashinda ugenini. Tunapaswa kufunga magoli mapema. Tutacheza kwa mpango tofauti na ule tuliocheza Tanzania"
Marcel Koller Kocha wa klabu ya Al-Ahly
"Nilifurahishwa...
Naombeni ushauri, mke gani nichague!
Niangalie uzuri, mtaani wanijue?
Au anaeweza shughuli, kitandani nitulie.
Au alietulia tuli, pekeangu nitanue.
Ebu nipeni ushauri, leo hii nijue.
Nichukue mwenye tako au mwembamba anatosha.
Nichague mwenye cheko, anaeweza kunikosha.
Au nichukue mnoko...
Dear Pigabet Customers,
We regret the inconvenience that had been caused to you during our upgrades for the past week.
However, we would like to inform you that withdrawals through Tigo, Vodacom and Airtel mobile operators are back.
Pigabet wants to assure each one of you that your funds are...
Mambo vipi? Nimekuja kukuambia machache kuhusu mimi mpenzi wangu.
Mimi ndiye ninayekufahamu wewe kuliko hata unavyojifahamu wewe, Naam.
Mimi ndiye ninamjua mpenzi anayekufaa kuliko hata wazazi wako wanaokushauri kila siku, umesahau juzi ulikuwa una-gugo sifa za mpenzi bora?
Ni mimi huyuhuyu...
Let's look up on this talented artist"Veeboiski "
Let's see what's he ghat
In joining our record deal
He dropped "slowly" in few days back, produced by blenderz
Pengine kwa wengine inaweza kuonekana familia ya ajabu au familia iliyokosa maadili mema ya kitanzania.
Kwa lugha rahisi ni typical familia ya kiswahili.
Lakini kwa watu walio kwenye industry ya burudani haswa media wanajua ukubwa wa hii familia kwa sasa. Content yao ni mali kama Almasi...
Nimekua mara moja moja nikitazama hii TV, jambomoja nililogundua ni kwamba Naseeb hafanyi mambo ya kubahatisha akifanya kitu anafanya kweli. Wasafi TV kuanzia muonekano wa picha, vipindi vyao vinavyotengenezwa, wako vizrui compared na TV kama clouds iliyokuwepo kabla yao.
Mimi nimekuwa mpenzi...
Uharamia (piracy) sio jambo jipya katika sanaa nchini, lilichangia kuanguka kwa BONGO MOVIE hasa baada ya mapato kupungua leo wasanii wamebaki kulaumu foreign films, TV shows and series wakati ukweli wanaujua dhahiri.
Now jinamizi hili limeshika hatamu katika upande wa Bongo fleva, tangu...
Habari comrades.
Conflict of interest ni tukio ambolo taasisi ya jamii inapotumiwa kwa manufaa binafsi ya mwajiriwa wake. Kwenye hii mada taasisi ya jamii nayolenga ni kituo cha Radio Clouds FM na mwajiriwa wake anayeleta shida ni B Dozen al maruufu B Twangala, Hamisi Mandi na mengineyo. Hichi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.