Katika siku za mwisho za uhai wake, akiwa hospitali Uingereza na alipotembelewa na Mkapa, Nyerere alimwambia hivi Mkapa, "Benjamin, najua Watanzania watalia sana watakaposikia nimekufa"
Na Nyerere alipokufa ni kweli Watanzania tulilia sana. Tulilia pia alipokufa Waziri Mkuu wa enzi hizo, Edward...
Ninawasalimu wanajukwaa!
Tangu kutenguliwa na Magufuli kutoka nafasi ya waziri wa mambo ya ndani, Kangi Lugola hasikiki kabisa hivi yupo wapi?
Mwanajukwaa mwenzangu wewe ulikuwa unamkubali kwa kipi huyu mzee akiwa waziri?
Enzi za (JPM) hata aliyekuwa kilaza wa siasa, alivuma
Enzi za JPM, kila raia alikuwa akitamani kushinda kwenye luninga akiangalia matukio ya siku hiyo
Huku mzee wa kuwasukuma ndani aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora mzee Mwaniri, alichangamsha mkoa huo
Dar es salaam akiwapo kijana maarufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.