epa

  1. Boss la DP World

    Hakuna fisadi anayeweza kukwambia amekuja kukuibia, Mafisadi wa EPA waliwahonga mpaka Maaskofu

    Wakuu kuna jambo haliko sawa na tutakumbuka shuka tukiwa tumechelewa. Wawekezaji wote wanaokuja hapa huwa wanapambwa sana na wanasiasa mwisho wa siku tunaibiwa kizembe. Kipindi cha EPA mpaka viongozi wa dini walihongwa, hivyo tusidanganyike kizembe. Tafadhali Mh Raisi, kwenye hili la...
  2. Lusungo

    Rais Samia tufufulie mjadala wa EPA

    Kwako mheshimiwa sana Rais Samia Suluhu Hassan tunakuomba sasa ufufue ule mjadala wa nchi kujiunga kwa mkataba wa EPA. Binafsi naona hakukua na mjadala mpana na wenye tija juu ya nchi kuridhia au kutoridhia zaidi sana naona tuliongozwa na ushabiki kuliko facts. Ni vizuri sasa tufanye review ya...
  3. Roving Journalist

    Tanzania imekutana na Umoja wa Ulaya (EU) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Mkataba wa Ushirikiano wa Kiuchumi (EPA)

    Serikali ya Tanzania imekutana na Umoja wa Ulaya (EU) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Mkataba wa Ushirikiano wa Kiuchumi (EPA) kati ya Umoja huo na Tanzania. Akiongea wakati wa kikao cha wataalamu kutoka Tanzania na EU kilichofanyika Jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Uwekezaji...
  4. Mwande na Mndewa

    Why the EPA is not beneficial to Tanzania

    Nadhani kwa leo tuishi humu 👇🏽 WHY THE EPA IS NOT BENEFICIAL TO TANZANIA This article was published in The Daily News of Tanzania on 28 July 2016. In the article, the former Tanzanian President presents his views on why the Economic Partnership Agreement (which the European Union has been...
  5. Roving Journalist

    ACT-Wazalendo: Mkataba wa Mashirikiano ya kibiashara na Jumuiya ya Ulaya (EPA), unaruhusu upotevu mkubwa wa Mapato

    Utangulizi: Mkataba wa Mashirikiano/Muungano wa Kiuchumi (European Partnership Agreement-EPA) ni makubaliano ya kiuchumi yanayolenga kuunda eneo huru la biashara (Free Trade Area) kati ya nchi za umoja wa Ulaya (EU) na mataifa ya Afrika. Makubaliano haya yanajadiliwa na kuingiwa kupitia...
  6. OLS

    Serikali: Hatujasaini EPA, Msimamo wetu uko palepale

    Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara imekanusha suala linaloendelea mtandaoni kuwa serikali imepitisha Economic Partnership Agreement(EPA) ambayo imetajwa na wasomi wengi kuwa itasababisha Tanzania kupoteza mapato yanayotokana na Importations kwa takribani 71% in the long run Wizara imesema...
  7. Kijakazi

    Rais Samia kusaini EPA huko Brussels?

    Ile Trade Agreement EPA iliyokuwa inapingwa kwa kila hali na CCM sasa kusainiwa na Raisi wa Tanzania Samia huko Brussels kwenye EU- Afrika Union summit. EPA ni free trade Agreement Kati ya EU na Nchi za Afrika Mashariki zikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda. Tanzania walipinga...
  8. Super Sub Steve

    Tusipokuwa makini, Tozo zitazalisha EPA nyingine au ufisadi Mkubwa mwingine

    Tunaimbiwa mapambio mazuri kila siku kwa sababu ya Tozo. Tozo inajenga madarasa Tozo inajenga vituo vya afya Tozo sijui inajenga barabara Tozo imeleta sijui vitu kedekede Wakati huo huo tunakopa mabilioni na mabilioni kutoka taaisisi mbalimbali za fedha. Sasa hayo madarasa yanajengwa na...
  9. Nyankurungu2020

    Tusifurahie uwekezaji wa Rostam Azizi tukasahau tulivyopigwa kupiti Kagoda, Epa na Richmond

    Naona sasa viongozi wa chama dume CCM mmesahau kilichotokea mwaka 2011 ambapo CCM ilijinasibu kujivua gamba. Ccm ilijinasibu kujivua gamba kwa kuwa ilikuwa imechafuka kwa ufisadi na mafisadi wengi waliokuwa wanaliibia taifa letu walikuwa ni viongozi wa Ccm. Mmoja wa watu waliosadikiwa kuwa...
  10. S

    Tumeamua kufukuza watumishi zaidi ya 9000;vipi kuhusu mafisadi wa KAGODA, EPA, RICHMOND, DEEPGREEN, n.k?

    Jinai na jinai tu bila kujali imefanywa na nani maana hakuna alie juu ya sheria. Kwa msingi huo,kama tumeamua kuadhibu watumishi hawa zaidi ya 9000 kwa kosa la kutumia vyeti feki,ni kwanini mafisadi wa EPA, RICHMOND ,KAGODA,MEREMETA,KIVUKO KIBOVU,n.k nao wasiwajibishwe japo kwa kutakiwa...
  11. BAK

    CUF waisakama serikali kuhusu Richmond, EPA, rada, ufisadi

    Date::8/28/2008 CUF waisakama serikali kuhusu Richmond, EPA, rada, ufisadi ..... Kizitto Noya na Saa Mohamed Mwananchi MWENYEKITI wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekosa maadili ya uongozi kutokana na kutowachukulia hatua za...
  12. K

    Tunajadili Bajeti,Tunaizika EPA,Richmond: Lakini Je,Tunayajua haya?

    Tunajadili Bajeti: Lakini wanasiasa wanayajua haya? Na Charles Kayoka Mwananchi WAKATI huu tunapoijadili bajeti sijui kama wanasiasa na watunga sera wetu wanalijua hili ninaloandika hii leo. Nilikuwa ziarani mkoani Rukwa hivi karibuni kwa ajili ya kujadiliana na waaandishi wa habari wenzangu...
  13. BAK

    Bunge uchwara lataka EPA na Richmond ziwekwe kando

    Posted Date::6/16/2008 NEC yazika mzimu wa Richmond *Baadhi ya wabunge watetea watuhumiwa rasmi *Wataka mijadala ya EPA, Richmond iwekwe kando * Wengine wataka wachukuliwe hatuza zaidi *Kikwete awaruhusu kuikosoa serikali kwa hoja Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mwananchi KUNDI la wabunge na...
  14. The Khoisan

    Kumekucha: Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker

    Parliament to discuss EPA, Richmond -Speaker 2008-06-01 10:45:11 By Staff Reporter The Speaker of the National Assembly, Samuel Sitta, said yesterday the coming budget session of the Union Parliament will discuss the External Arrears Payment Account and the Richmond power contract scandals...
  15. Nikifufukammekwisha

    Ufisadi wa EPA, Richmond wadhalilisha Watanzania Marekani

    Who is this guy? Why did he do this & under what capacity? Is he the "de-facto spokesperson" for Tanzanians living in the US? Aliwakusanya akina nani na kukusanya maoni yao halafu baadaye kuyapeleka uko Mwananchi? Anafanya kazi ubalozini? Mimi naichukulia hii kitu kama ni "kujikweza kusiko na...
  16. BAK

    Richmond, EPA kuibukia Butiama

    Richmond, EPA kuibukia Butiama Mwandishi Wetu Machi 12, 2008 Raia Mwema Azimio la Butiama kuitikisa CCM Wahusika wadaiwa kuanza kutoa rushwa UAMUZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kupeleka vikao vyake vya juu vya Kamati Kuu yake (CCM) na kile cha Halmashauri Kuu (NEC) kijijini Butiama, una...
Back
Top Bottom