Full name: AFC Bournemouth
Nickname(s)
The Cherries
Boscombe
Founded: 1899; 126 years ago (1899) (as Boscombe)
Ground: Dean Court
Owner: Black Knight Football Club UK Limited
Chairman: Bill Foley
Manager: Andoni Iraola
League: Premier League
Website: afcb
Baada ya Azam tv kuamua kuonyesha kila mechi ya Ligi Kuu ya NBC kwasasa Vibanda umiza vinajaza zaidi mechi za ligi ya NBC kuliko zile za Ulaya.
Mechi za Ulaya huko siku hizi hazina watazamaji wengi huku vibandani.
Coastal Union vs Yanga inaweza ikajaza ukumbi halafu huku Arsenal Vs Liverpool...
Winga wa Manchester United amekamilisha usajili wa mkopo wa msimu mmoja kwenda Chelsea, mkataba ukiwa na sharti la kuwa wanaweza kumsajili kwa Pauni Milioni 23 ikiwa ni miaka mitatu tangu United ilipomnunua kwa pauni Milioni 73 kutoka Borrusia Dortmund.
Upande mwingin, Raheem Sterling wa...
Sheria mpya hizi hapa ,wale Man U fans na Chelsea lia lia mzielewe .
🔜 New rules are set to be introduced for the 2024/25 Premier League campaign:
➡️ Semi-automated offsides will be introduced but won't start until AFTER the international break in September, October or even November.
➡️ Only...
Ijumaa ya 16/08/2024 pazia la EPL litafunguliwa kwa mchezo baina ya Man Utd Vs Fulham kule Old Trafford.
Kuelekea msimu huu mpya wa 2024/25 tabiri Top Four yako itaishaje mwisho wa msimu.
Twende kazi…
Kuna hili swali wadau hivi timu kubwa yenye MAFANIKIO makubwa katika ligi zote ilizoshiriki pale uingereza ni timu gani hapa nikimaanisha ligi kuu na UEFA naomba kuijua ambayo ni namba moja maana hapa Kuna mtu mbishi sana tunabishana namuambia ni Liverpool ndio Ina makombe mengi