equatorial guinea

Equatorial Guinea (Spanish: Guinea Ecuatorial; French: Guinée équatoriale; Portuguese: Guiné Equatorial), officially the Republic of Equatorial Guinea (Spanish: República de Guinea Ecuatorial, French: République de Guinée équatoriale, Portuguese: República da Guiné Equatorial), is a country on the west coast of Central Africa, with an area of 28,000 square kilometres (11,000 sq mi). Formerly the colony of Spanish Guinea, its post-independence name evokes its location near both the Equator and the Gulf of Guinea. As of 2015, the country had a population of 1,225,367.Equatorial Guinea consists of two parts, an insular and a mainland region. The insular region consists of the islands of Bioko (formerly Fernando Pó) in the Gulf of Guinea and Annobón, a small volcanic island which is the only part of the country south of the equator. Bioko Island is the northernmost part of Equatorial Guinea and is the site of the country's capital, Malabo. The Portuguese-speaking island nation of São Tomé and Príncipe is located between Bioko and Annobón. The mainland region, Río Muni, is bordered by Cameroon on the north and Gabon on the south and east. It is the location of Bata, Equatorial Guinea's largest city, and Ciudad de la Paz, the country's planned future capital. Rio Muni also includes several small offshore islands, such as Corisco, Elobey Grande, and Elobey Chico. The country is a member of the African Union, Francophonie, OPEC and the CPLP.
After becoming independent from Spain in 1968, Equatorial Guinea was ruled by President for life Francisco Macías Nguema until he was overthrown in a coup in 1979 by his nephew Teodoro Obiang Nguema Mbasogo who has served as the country's president since. Both presidents have been widely characterized as dictators by foreign observers. Since the mid-1990s, Equatorial Guinea has become one of sub-Saharan Africa's largest oil producers. It has subsequently become the richest country per capita in Africa, and its gross domestic product (GDP) adjusted for purchasing power parity (PPP) per capita ranks 43rd in the world; however, the wealth is distributed extremely unevenly, with few people benefiting from the oil riches. The country ranks 144th on the 2019 Human Development Index, with less than half the population having access to clean drinking water and around 1 in 12 children dying before the age of five. Equatorial Guinea's government is authoritarian and has one of the worst human rights records in the world, consistently ranking among the "worst of the worst" in Freedom House's annual survey of political and civil rights. Reporters Without Borders ranks President Obiang among its "predators" of press freedom. Human trafficking is a significant problem with the U.S. Trafficking in Persons Report identifying Equatorial Guinea as a source and destination country for forced labour and sex trafficking. The report also noted that Equatorial Guinea "does not fully meet the minimum standards for the elimination of trafficking but is making significant efforts to do so."

View More On Wikipedia.org
  1. W

    Sakata la Mtumishi wa Serikali kutoka Equatorial Guinea

    Takriban video 400 za ngono zinazomhusisha Baltasar Ebang Engonga, mtumishi wa serikali ya Equatorial Guinea, zimevuja kwenye mitandao ya kijamii. Video hizo zinamhusisha na wake wa viongozi wakubwa, mke wa kaka yake, binamu, mjomba wake, na wafanyakazi wenzake, na zilipatikana wakati wa...
  2. P

    Kulikuwa na haja gani kwa serikali ya Equatorial Guinea kuvujisha zile video?

    Habarini wakuu. Nisaidie wakuu, yawezekana mkawa na majibu ya kueleweka kuhusu hili linaloendelea . Serikali ya Guinea ilikuwa na makusudi gani kuachia hizi video 400 za ngono? Kwa Nini wasingechukua hatua kimyakimya? Haya mambo nadhani binafsi naona ni uzuzu tu wa serikali zetu za kiafrica...
  3. Mwanamke mmoja miongoni mwa waathirika wa kashfa ya ngono ajiua kuepuka aibu ya Baltasar Engonga aliyenaswa na Video 400 za ngono na wake wa viongozi

    Wakuu Taarifa kutoka Equatorial Guinea zinaeleza Mwanamke mmoja anayedaiwa kuwa muathirika wa kashfa ya video za ngono za mwanasiasa wa Equatorial Guinea, Baltasar Ebang Engonga, amejiua ili kuondokaa na aibu baada kigogo huyo kunaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mbalimbali...
  4. Mamlaka za kiafrica ni kama zimelaaniwa. Kulikuwa na haja gani serikali za Equatorial Guinea kuvujisha video za ngono

    Wakuu habarini. Hizi serikali zetu ngozi nyeusi zinapenda sana mambo ya kipuuzi ili kuzima ajenda zao Kwa wananchi Kwa serikali yenye watu wenye akili kulikuwa na haja gani ya kuvujisha zile video za ngono? Walienda kuchunguza kashfa za rushwa? Kwa nini baada ya kukutana na hizo video...
  5. B

    Vyama Tawala, Tabia za kupeana vyeo na Scandal ya Equatorial Guinea

    Inasikitisha sana kwa kile kinachoendelea kwenye Bara la Afrika. Huku wananchi wanawachagua( kama kweli wanachaguliwa kwa kura) wakiamini wataenda maofsini kufanya kazi na kukuza uchumi, utawala bora, maendeleo ya viwanda na hali nzuri ikiwemo ustawi wa wananchi. Kama ilivyo kwa vyama vyote...
  6. G

    Hapa BONGO kuna zaidi ya uchafu wa Equatorial Guinea. Ni vile tu sheria haziruhusu kuweka video za ngono mitandaoni

    Watanzania wanajitia kushanga namna Baltasar alivyoweza kuwatafuna wanawake wenye kazi zao ama wake za vigogo 400. Hapa bongo ni zaidi ya Equatorial Guinea, ni vile tu sheria zetu zimekuwa kali na huwazuia watu kuposti video za ngono mitandaoni. Vinginevyo tungeona machafu zaidi ya hayo...
  7. Serikali ya Equatorial Guinea yaunyima uwezo WhatsApp usambazaji wa picha na video za ngono za Afisa wa Serikali

    Naona Serikali Equatorial Guinea wanafanya kila mbinu kuhakikisha mambo yasiwe mengi baada ya huyo jamaa kuchafua hali ya hewa kwenye taifa hilo na nje ya taifa hilo ============================ Serikali ya Equatorial Guinea imeminya Mtandao wa Whatsapp Nchini humo ili Raia wake wasiweze...
  8. Kwenye tukio la kigogo wa Equatorial Guinea nimeamini hiki kizazi sio cha kufunga ndoa

    Kuna muda ukweli usemwe. Ndoa sio tena swala valid kwa miaka hii. Kama issue ya malezi ya watoto ni bora kutafuta njia nyingine ila sio ndoa. Hebu fikiria wake za watu wanaliwa ofisini, beach, nk... wakiwa na furaha kabisa huku wakikubali kurekodiwa na kutoa ushirikiano wa hali ya juu kabisa...
  9. Guinea: Kigogo Baltasar Ebang Engonga anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kitaifa la Uchunguzi wa Fedha (ANIF) la Guinea ya Ikweta, Baltasar Ebang Engonga, amenaswa kwenye kashfa nzito na kubwa zaidi ya ngono nchini humo. Inayohusisha zaidi ya video 400 za ngono. Wanawake waliomo kwenye video hizo ni pamoja na wake za viongozi wengi...
  10. Mahakama yakamata Nyumba na Yacht, mali za Makamu wa Rais wa Equatorial Guinea

    Nyumba 2 na Jahazi (Super Yacht) 1, mali za Teodoro Nguema Obiang zimewekwa chini ya Ulinzi kwa agizo la Mahakama baada ya Mfanyabiashara Daniel Janse Van Rensburg kudai Kiongozi huyo alimkamata kinyume cha Sheria na kumtesa. Mfanyabiashara huyo anataka kulipwa fidia ya Tsh. Bilioni 5.1...
  11. Mtoto wa Rais wa Equatorial Guinea akamatwa kwa kuuza Ndege ya Serikali

    Mmoja wa watoto wa mtawala mkongwe wa Equatorial Guinea amekamatwa na kuwekwa kizuizi cha nyumbani kwa tuhuma za kuuza Ndege inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Taifa kinyume cha sheria. Kw a mujibu wa Kituo cha TV cha Taifa, TVGE, Mamlaka zilifungua uchunguzi mwishoni mwa Novemba 2022 "baada...
  12. Equatorial Guinea: Teodoro Nguema ashinda tena Urais kwa mara ya 6

    Mtawala huyo wa muda mrefu zaidi duniani amechaguliwa tena kwa kupata 95% ya Kura huku chama chake kikishinda viti vyote Bungeni. Imeripotiwa kuwa Upinzani wa Kisiasa dhidi yake umekuwa ukibanwa na Dola, pamoja na kuripotiwa ukandamizaji wa Vyombo vya Habari ambavyo vinamilikiwa na Serikali na...
  13. Equatorial Guinea imekuwa nchi ya 24 Afrika kufuta Adhabu ya Kifo

    Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo aliyekaa Madarakani kwa miaka 43 ametia saini Sheria hiyo mpya itakayoanza kutekelezwa ndani ya siku 90 baada ya kuchapishwa katika Gazeti la Serikali. Mara ya mwisho adhabu ya kifo kutekelezwa nchini humo ilikuwa mwaka 2014. Pamoja na uamuzi huo, Amnesty...
  14. Wadau huko Equatorial Guinea, GB 1 ni Tsh 114,241

    Nchi Gharama Kwa 1GB in USD Kwa Tsh 1 Equatorial Guinea 49.67 114,241 2 Sao Tome and Principe 30.97 71,231 3 Malawi 25.46 58,558 4 Chad 23.33 53,659 5 Namibia 22.37 51,451 6 Central African Republic 9.03 20,769 7 Seychelles 8.64 19,872 8 Gambia 5.86...
  15. Mnada mali za Makamu wa Rais Equatorial Guinea, Teodoro Nguema: Urais Afrika ni mtamu kwa marais kama hawa

    Wizara ya Sheria, Marekani (DOJ), imetangaza kuwa fedha ambazo zimepatikana kwa kupiga mnada mali za Makamu wa Rais wa Equatorial Guinea, Teodoro Nguema Obiang Mangue, zitatumika kununua chanjo na kuisaidia nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Obiang ni mtoto wa Rais wa Equatorial Guinea Teodoro...
  16. Teodoro Nguema Obiang Mangue: Mtoto wa Rais mwenye maisha ya kifahari kwa fedha za ubadhirifu

    Kwa miaka mafanikio ya Teodoro "Teodorin" Nguema Obiang Mangue yaliwiana na mafanikio ya nchi yake Equatorial Guinea, kama ilivyopanda na kuboreka kama mzalishaji mkubwa wa mafuta katika Kusini mwa jangwa la Sahara Mtoto wa Rais Teodoro Obiang Nguema Mbasogo anafurahia maisha yake ya kifahari...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…