Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Morogoro, Erasto Sanare katika moja ya majukumu yake wakati wa uongozi wake. Picha na mtandao
Arusha. Mkuu wa mkoa mstaafu wa Morogoro, Erasto Sanare amemfikisha mahakamani Mwenyekiti wa Halmashauri ya Monduli, Isaac Joseph (Kadogoo), akimtuhumu kumkashifu na kumtolea...