esther bulaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Pre GE2025 Esther Bulaya: Nilishangaa watu kusema Mbowe anang'ang'ania Madaraka, huwezi kumzuia yeyote asigombee

    Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya akizungumza siku ya Jumatatu Februari 24, 2025 kupitia kipindi cha Power Breakfast cha kituo cha habari cha Clouds FM. "Uchaguzi ni demokrasia, kachukua fomu Tundu Lissu (Mwenyekiti wa CHADEMA taifa), kachukua fomu Freeman Mbowe (Aliyekuwa Mwenyekiti CHADEMA...
  2. The Watchman

    Pre GE2025 Esther Bulaya: Bado ninaongea lugha ya CHADEMA, ninakipenda hiki chama

    "Mimi bado ninaongea lugha ileile ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na bado ninaongea lugha ya demokrasia, sasa suala la uanachama au kutokuwa mwanachama ni la maamuzi ya vikao, sasa kwenye jambo hilo, tutaenda kuongea kwenye vikao, kwasababu sisi tulikwenda mahakamani na kudai...
  3. T

    Pre GE2025 Esther Bulaya asema anaunga mkono kauli ya chama chake ya "No reform no election"

    Wakati akafanya mahojiano na Clouds tv Esther Bulaya ameulizwa kuhusu msimamo wa CHADEMA wa No reform no election, ambapo amesema yeye kama mwanachadema anaunga mkono kauli hiyo kutokana na majeraha yaliyotokea kwenye uchaguzi Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila...
  4. Cute Wife

    Pre GE2025 Ester Bulaya: Mimi sio CCM ni CHADEMA. Utaratibu wa kutupeleka bungeni ulifuatwa hakuna aliyefoji

    Wakuu, Akiwa anahojiwa katika kipindi cha Power Breakfast Clouds Ester Bulaya amesema: "Mimi ni CHADEMA, (kuhusu kufukuzwa) hayo ni mambo ya ndani ya chama na ndio maana sababu sisi tumesema ni wana CHADEMA tukaenda kutetea uana CHADEMA wetu, na ni njia ya kawaida. "…Kwanza hakuna mtu yeyote...
  5. The Supreme Conqueror

    Esther bulaya ‘amchanachana’ Waziri Mwigulu Nchemba mafao ya wastaafu

    BUNGE limeambiwa kuwa Serikali inavunja sheria kulinda makosa yake ya kupoka mamlaka ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii. Hayo yameelezwa leo bungeni Dodoma na Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya alipokuwa akichangia mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali iliyowasilishwa wiki iliyopita na Waziri wa...
  6. T

    Halima Mdee na wenzake 18 kusamehewa na kurudi CHADEMA ni sahihi siyo jinai

    Mimi ninakubaliana kuhusu kurudi kwa akina Halima Mdeme na wenzake 19 kwa makubaliano na Kamati kuu na kwa kuomba msamaha kwa Baraza Kuu kwa vile hakuna binadamu asiye na kasoro. Mbowe tumia weledi wa uongozi kwenye masuala yote magumu ya chama achana na makundi ya akina John Mrema wenye...
  7. R

    Esther Bulaya: Sirro arudishwe aje kupambana na hali yake!

    Akichangia kuhusu ripoti ya CAG Esther Bulaya asema Sirro arudishe ambako anahumu kama Balozi aje kuwajibika kwa ubadhirifu aliofanya. Bulaya amesema mwaka 2018-21 Inspekta Jenerali wa Polisi alikuwa Simon Sirro, ambako kwenye mfuko wa Tuzo na Tozo na kufa na kuzikana katika jeshi la polisi...
  8. J

    Wabunge Halima Mdee na Esther Bulaya wamechangia Tsh 9 million harambee ya ujenzi wa Kanisa

    Wabunge maarufu wa viti Maalum Halima Mdee na Esther Bulaya kwa pamoja wamechangia Tsh 9 million kwa ajili ya Ujenzi wa Kanisa Mungu wa mbinguni awabariki Chanzo: Clouds Media
  9. J

    Spika Ndugai amewafukuza Bungeni mara kadhaa Halima Mdee na Esther Bulaya kwa utovu wa nidhamu. Je, aliwaonea?

    Kuwatetea Halima James Mdee na Esther Bulaya kuhusiana na utovu wa nidhamu ni lazima ujitoe ufahamu kidogo. Tukitaka kujenga jamii ya watu waadilifu ni lazima tuwe wakweli. Halima James Mdee mara kadhaa amefukuzwa Bungeni na Spika Ndugai kwa utovu wa nidhamu. Halima James Mdee amewahi kutupwa...
  10. J

    CHADEMA mkoa wa Mara waunga mkono Esther Matiko na Esther Bulaya kuvuliwa uanachama

    Uongozi wa Chadema mkoani Mara umeunga mkono kwa kauli moja uamuzi wa kamati kuu ya chama chao wa kuwavua uanachama waliokuwa wabunge wao Esther Bulaya na Esther Matiko. Chanzo: Ayo tv Maendeleo hayana vyama!
  11. Miss Zomboko

    Uchaguzi 2020 Hatimaye Wabunge 19 wa Viti maalumu wa CHADEMA wajitokeza kuapishwa Dodoma. Viongozi wa CHADEMA wakana kupeleka majina yao

    Wabunge Viti Maalum kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameanza mchakato wa kusajiliwa Jijini Dodoma. Majina yao yamewasilishwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA ORODHA YA WABUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA 2020: 1. Halima Mdee 2. Grace Tendega 3. Ester Matiko 4. Cecilia Pareso 5. Ester...
  12. Erythrocyte

    Segerea: Wabunge wa CHADEMA Ester Bulaya, Ester Matiko na Halima Mdee waachiwa. Wasema sasa ni saa ya ukombozi Tanzania

    Viongozi watatu; Halima Mdee (Mb), Esther Bulaya (Mb) na Esther Matiko (Mb), wametoka magereza asubuhi ya leo na watazungumza na wanahabari leo katika Ofisi za CHADEMA makao makuu Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, jijini Dar es Salaam. Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee...
Back
Top Bottom