europe

  1. P

    NIMESOMA SOMEWHERE: “Africa Accepts Waste From Europe, America and Asia”. 😳😳

    Daah, shikamo Umaskini. Nchi yangu pia imo. Rwanda na Kwnye wamepiga burn ya kupokea takataka kutoka Ulaya, US na Asia. Daah, Afrika jamani.
  2. Eli Cohen

    Utamsikia anasema "Wanaume wote ni mbwa. Kama hawezi kunidekeza kama mtoto, kwendraaaaa!!"

  3. State Propaganda

    Diplomatic Shift: U.S. and Europe Support Territorial Sacrifices to End Ukraine-Russia War

    : Viongozi wa Marekani na Ulaya wamekubaliana kwamba Ukraine itahitaji kuachilia baadhi ya maeneoya ardhi yake ili kumaliza vita na Urusi, hii ni kulingana na taarifa ya gazeti la The Washington Post. Chanzo hicho kinasema kwamba maafisa wa Marekani wanadhani kwamba, katika miezi michache...
  4. Waufukweni

    Diamond Platnumz aweka rekodi, awa msanii wa kwanza Afrika Mashariki kuwania Tuzo za MTV Europe Music Awards kwa Mihula Mitano

    Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amekuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards kwa mihula mitano, akiwania vipengele sita, ikiwa ni pamoja na Best African Act mara tano na Best Worldwide Act mara moja. Katika mihula minne...
  5. Forgotten

    Hizi ndiyo njia rahisi zaidi kuingia Marekani, Ulaya na Asia

    Habari wana-JF! Najua tayari kuna nyuzi kedekede kuhusu njia za kufika Marekani, Ulaya na Asia kwaajili ya kubadili upepo na kutafuta fursa mpya ila leo nitaongezea maarifa hasa kwa wale wanaojipanga kutoka nje ya mipaka ya Tanzania na Africa kwa ujumla. Nitaanza kuweka njia rahisi za kuingia...
  6. Mathanzua

    Being an enemy of the United States can be dangerous, but being a friend is fatal. Europe has experienced this first hand.

    Being an enemy of the United States can be dangerous, but being a friend is fatal(Henry Kissinger) May 6, 2024 In the case of today’s European economies the fatality, the “Kissinger factor,” consists of the economic suicide imposed on it by the United States and culminating in the war in...
  7. D

    Nimepata admission vyuo mbalimbali Europe. Wapi naweza pata full funded scholarship?

    Nimepata conditional admission vyuo mbalimbali. Courses ni masters ya leadership na education leadership. Uingereza nimepata vyuo vinne. Sweden chuo 1 Finland 1 Poland 1 Tatizo ni uwezo wa kujisomesha. Naomba mwenye kufahamu taasisi ninayoweza kuomba full funded scholarship/sponsorship...
  8. J

    Nigeria vs Ghana: Ranking the Best Super Eagles Players in Europe Ahead of Jollof Derby

    The Super Eagles of Nigeria are set to take on the Black Stars of Ghana in a 'Jollof Derby' in their upcoming friendly game during the international break. The match will take place at the Stade de Marrakech in Morocco on Friday, March 22. Some of the top players who helped Nigeria finish...
  9. Mwl.RCT

    Video: Natural Disasters (Nov.19.2023)- Flood in Mecca, Earthquake in Turkey, Snowfall in Europe

    Natural disasters wreak havoc worldwide, causing widespread damage, loss of life, and displacement. Torrential rains caused severe flooding in the Dominican Republic, the Philippines, Dubai, Santa Katarina, and Hugh, leading to evacuations, fatalities, and transportation disruptions. Ethiopia...
  10. M

    America ,Europe na Asia wapewe mauwa yao

    IPO wazi hawa jamaa WA Asia (china , south Korea na,japan) Europe na america wamebadilisha maisha ya hii planet earth kweny angle ya science, mathematics, sports n.k isingekua wao Bado tungekua tunaishi maporini. Kama mzungu na muasia angelala Leo ungekuta hakuna simu,hakuna Tv,hakuna...
  11. Mama Edina

    Kwa wale msiojua Europe Champions league, mechi za leo. What's next??

    Anglia Hiking ndio kinachofata
  12. micky judah

    INAUZWA Nauza spear used za magari ya Europe

    Kwa mahitaji ya spear used za magari ya Europe iwe Audi, BMW, BENZ,Vw, Ranger rovers Iwe fundi & tajiri kwa mahitaji yeyote ya spear parts used na bora wasiliana nasi 0613010190
  13. Kijakazi

    Hii thinking ni ya Japan au Old Europe na USA lakini sio Afrika

    Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni? Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta...
  14. NjavikeSoftcom

    Biashara ya “Second hand Phones” kutoka Dubai / Europe

    Habari wakuu, Najaribu kutafuta biashara salama ya kufanya ambayo itanipa Mzunguko Mzuri. Nimefikiria kuhusu biashara ya used simu kutoka Dubai / Europe , changamoto ni sina experience na sijui naanzia Wapi . Nahitaji Msaada kujua soko likoje na upatikanaji wa bidhaa zake ! Au kama kuna...
  15. Cordy bnei shirk

    TV4Sale Double glass 32 inch Europe strong TV Kwa 350,000 tu

    Brand New tv Full HD 1 year warranty Double glass Free delivery in Dar Tupo Aggrey/Ndanda street. Price :350,000Tsh Call 0788622610
  16. Mathanzua

    The day Europ died: BASF announces “permanent” output reductions in Europe that will set set a supply chain collapse for the Western World.

    Published Friday, October 28, 2022 Over a year ago, I began publicly warning the world about the global famine implications of the loss of natural gas supplies for Europe. Through the Haber chemical process, natural gas is combined with atmospheric nitrogen (N2) to create ammonia (NH3), the key...
  17. Mathanzua

    Europes' winter from hell: Thanks for your sanctions Washington,NATO and Europe on Russia

    Europe’s impending depression is not to be discounted in terms of its relevance to the other side of the Atlantic. Since the turn of the century, US exports to the European Union have soared from $12.3 billion per month to $30.4 billion. That latter amounts to $365 billion on an annual basis...
  18. R

    Kenya 2022 Hivi na USA/Western Europe wana kwaya kama ninazoziona Kenya/Tanzania wakati wa kampeini za urais/kutangaza mshindi?

    Hivi na USA/Western Europe wana kwaya kama ninazoziona Kenya/Tanzania wakati wa kampeini za urais/kutangaza mshindi? Just for curiosity! Maana naona kqama hayo yamepitwa na wakati.
  19. Enkaly

    Waziri wa Hungary: Ulaya inajichanganya yenyewe kwenye nishati ya gesi

    Hungary imetuma wanadiplomasia wake Moscow kujadili masuala ya gasi na kukutana na mwenzie wa Urusi Sergei Lavlov. Hungarian Foreign Minister: Europe contradicts itself on gas Hungary's top diplomat visits Moscow to negotiate gas supplies despite EU bid to cut deliveries By Euronews with AFP...
  20. Vishu Mtata

    Hali ya joto kali bara la Ulaya (Europe)

    Wakuu hili joto kipindi hiki ulaya ni kwanini inatokea hivyo, huku kwetu ni baridi na maeneo mengine ni baridi kali kwelikweli, Mbeya, Arusha, Moshi, Kagera, Iringa(baadhi ya maeneo), Njombe(Makete), hali ni tete. Baridi maeneo hayo ni kali mno. Hadi baadhi ya wananchi wa maeneo ya jiji la...
Back
Top Bottom