:
Viongozi wa Marekani na Ulaya wamekubaliana kwamba Ukraine itahitaji kuachilia baadhi ya maeneoya ardhi yake ili kumaliza vita na Urusi, hii ni kulingana na taarifa ya gazeti la The Washington Post.
Chanzo hicho kinasema kwamba maafisa wa Marekani wanadhani kwamba, katika miezi michache...
Msanii maarufu wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, amekuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kuchaguliwa kuwania tuzo za MTV Europe Music Awards kwa mihula mitano, akiwania vipengele sita, ikiwa ni pamoja na Best African Act mara tano na Best Worldwide Act mara moja.
Katika mihula minne...
Habari wana-JF!
Najua tayari kuna nyuzi kedekede kuhusu njia za kufika Marekani, Ulaya na Asia kwaajili ya kubadili upepo na kutafuta fursa mpya ila leo nitaongezea maarifa hasa kwa wale wanaojipanga kutoka nje ya mipaka ya Tanzania na Africa kwa ujumla.
Nitaanza kuweka njia rahisi za kuingia...
Being an enemy of the United States can be dangerous, but being a friend is fatal(Henry Kissinger)
May 6, 2024
In the case of today’s European economies the fatality, the “Kissinger factor,” consists of the economic suicide imposed on it by the United States and culminating in the war in...
Nimepata conditional admission vyuo mbalimbali.
Courses ni masters ya leadership na education leadership.
Uingereza nimepata vyuo vinne.
Sweden chuo 1
Finland 1
Poland 1
Tatizo ni uwezo wa kujisomesha. Naomba mwenye kufahamu taasisi ninayoweza kuomba full funded scholarship/sponsorship...
The Super Eagles of Nigeria are set to take on the Black Stars of Ghana in a 'Jollof Derby' in their upcoming friendly game during the international break.
The match will take place at the Stade de Marrakech in Morocco on Friday, March 22.
Some of the top players who helped Nigeria finish...
Natural disasters wreak havoc worldwide, causing widespread damage, loss of life, and displacement. Torrential rains caused severe flooding in the Dominican Republic, the Philippines, Dubai, Santa Katarina, and Hugh, leading to evacuations, fatalities, and transportation disruptions. Ethiopia...
IPO wazi hawa jamaa WA Asia (china , south Korea na,japan) Europe na america wamebadilisha maisha ya hii planet earth kweny angle ya science, mathematics, sports n.k isingekua wao Bado tungekua tunaishi maporini.
Kama mzungu na muasia angelala Leo ungekuta hakuna simu,hakuna Tv,hakuna...
Kwa mahitaji ya spear used za magari ya Europe iwe Audi, BMW, BENZ,Vw, Ranger rovers
Iwe fundi & tajiri kwa mahitaji yeyote ya spear parts used na bora wasiliana nasi 0613010190
Alitaka kujenga treni ya Umeme Tanzania, swali likaja umeme atautoa wapi wa kuendesha hiyo treni?
Akapiga akili akagundua kuna uwezekano wa kupata zaidi ya 2000 MW green energy huko Rufiji Delta, akaingia lab kazi ikaanza, Bwawa la kuzalisha umeme zaidi ya 2000 MW likaanza kujengwa fasta...
Habari wakuu,
Najaribu kutafuta biashara salama ya kufanya ambayo itanipa Mzunguko Mzuri.
Nimefikiria kuhusu biashara ya used simu kutoka Dubai / Europe , changamoto ni sina experience na sijui naanzia Wapi .
Nahitaji Msaada kujua soko likoje na upatikanaji wa bidhaa zake !
Au kama kuna...
Published Friday, October 28, 2022
Over a year ago, I began publicly warning the world about the global famine implications of the loss of natural gas supplies for Europe. Through the Haber chemical process, natural gas is combined with atmospheric nitrogen (N2) to create ammonia (NH3), the key...
Europe’s impending depression is not to be discounted in terms of its relevance to the other side of the Atlantic. Since the turn of the century, US exports to the European Union have soared from $12.3 billion per month to $30.4 billion. That latter amounts to $365 billion on an annual basis...
Hivi na USA/Western Europe wana kwaya kama ninazoziona Kenya/Tanzania wakati wa kampeini za urais/kutangaza mshindi?
Just for curiosity! Maana naona kqama hayo yamepitwa na wakati.
Hungary imetuma wanadiplomasia wake Moscow kujadili masuala ya gasi na kukutana na mwenzie wa Urusi Sergei Lavlov.
Hungarian Foreign Minister: Europe contradicts itself on gas
Hungary's top diplomat visits Moscow to negotiate gas supplies despite EU bid to cut deliveries
By Euronews with AFP...
Wakuu hili joto kipindi hiki ulaya ni kwanini inatokea hivyo, huku kwetu ni baridi na maeneo mengine ni baridi kali kwelikweli, Mbeya, Arusha, Moshi, Kagera, Iringa(baadhi ya maeneo), Njombe(Makete), hali ni tete. Baridi maeneo hayo ni kali mno.
Hadi baadhi ya wananchi wa maeneo ya jiji la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.