ZANZIBAR WINS PRESTIGIOUS WORLD TRAVEL AWARD AS AFRICA'S LEADING FESTIVAL AND EVENT DESTINATION 2024
Zanzibar has once again solidified its position as a leading global destination by winning a prestigious award at the World Travel Awards. This year, Zanzibar has been recognized as Africa's...
Baada ya kimya na ahadi za muda mrefu za CEO wa Tesla, Elon Musk, finally ile siku imewadia.
Ni tarehe 10 October, ambapo billionaire uyo atafanya uzinduzi wa huduma na bidhaa mbalimbali kutoka kwenye kampuni yake ya Tesla.
Event ina tittle “We Robot” ambayo tunaamini kaitoa kwenye series ya...
Apple event kwa mwaka 2024 inafanyika leo ambapo iPhone 16 series inatarajiwa kuzinduliwa.
Rangi za upinde ni sehemu ya tukio hilo la leo.
Yapi maoni yako
Wameanza kwa mbwembwe kama hivyo na ndugu zetu upinde wamepata kipaumbele namna hiyo
Website ya AppleBETA iko busy naona soon wale wa dev beta mzigo utakua hewani IOS 18
IOS 18 is out now
Jana Apple wamezindua next generation ya iPhone na Apple Watches. Moja ya vitu nilivyopenda zaidi ni kuona wamefikia kwenye kutengeneza Carbon Neutral devices. Na kutumia material imara zaidi ulimwenguni ya titanium kwenye iPhones, ambayo yanatumika pia kutengeneza spacecraft.
Mimi ni Yanga ila tukiweka ushabiki pembeni event ya leo imedoda. Kuna sehemu management ya Yanga imekosea.
Ni agency gani ilipewa kazi ya promotion?
Nani alikuja na wazo la kiingilio cha chini kiwe elfu 10 na VIP 40k?
Nani anapaswa kuwajibishwa?
Ni aibu leo ambayo dunia nzima wanatutizama.
Wakuu, mimi ni mtumishi wa umma tu mwenye kamshahara ambako hakazidi 1.3m take home.
Mpaka naandika uzi huu kuna issue inanisumbua, pamoja na kwamba kwenye mamlaka ninayofanyia kazi kuwa me ni mtumishi wa ngazi ya chini kabisa but nimekua nikipata first class treatment kulinganisha na wenzangu...
Coincidence.
Random event.
Kuna uhusiano gani upo kwenye haya majina:
- John Fitzgerald Kennedy. Raisi wa 35
- Kiernan Jarryd Forbes. Amekufa ana miaka 35
Salaam ndugu zangu wa JamiiForums.
Mimi ni mmoja wa member katika jukwaa hili kwa kipindi kirefu sana na nimekuwa nafatilia jukwaa hili kila siku, Yaani nikifika tu ofisini jambo la kwanza ni kufungua jukwaa hili ili ku refresh mind na kupata madini kadhaa walau dk 15 then kuendelea na majukumu...
Habari naitwa Frezier Nehatta kutoka forever events sisi tunajihusisha na event decoration kama vile harusi,kitchen party,birthday, graduation,anniversary,engagement,farewell n.k tupo dar es salaam namba zetu ni 0653110660 na 0622667749 instagram tunatumia foreverevents(profile picture tumeweka...
Habari wadau,
Kuna kijana mwezetu anawazo la kufanya tukio la kitalii,, linahitaji watu takribani watano (5) wa kujitolea kuratibu na kuandaa event hii, watajitoa kwa hali na mali na kulipana baada ya kufanikisha event.
Interested?...... contact 0719225113
Bado naendelea kutathimini tukio lenyewe!
Ila niseme tu kuwa kama Taifa tunapita katika kipindi kigumu sana! Kuna distractions na sabotage nyingi sana tangu Rais Samia achukue usukani wa kuongoza Taifa hili kufuatia kifo cha ghafla cha Hayati Rais Magufuli.
Hivyo viongozi wetu wanapaswa kuwa si...
Main event hiyo itakuepo around saa 0500am mida ya kibongo
Wale wenye bando za bwerere tumieni hapa HesGoal.COM Sports News kuona mtanange live
===
Amanda Nunes is the greatest women's MMA fighter of all time. She holds the UFC titles at bantamweight and featherweight. On top of that, she has...
When it comes to planning a wedding, the first thing on a couple’s checklist is finding the perfect wedding venue. The venue is the Centre of everything and once a couple has found the perfect venue then everything else on the checklist from the décor to the setup all fall into place.
Here is a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.