ewura

Kate Victoria Teiba Abbam, born Ewura Ekua Badoe (1934-2016) was a Ghanaian journalist, editor and consultant on women and development. Abbam founded Ghana's first women's magazine, Obaa Sima (The Ideal Woman), in 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. EWURA yatatua migogoro 258 kati ya Julai 2023 hadi Juni 2024

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema kati ya Julai 2023 hadi Juni 2024 imefanikiwa kutatua migogoro 258 ya malalamiko kuhusiana na sekta inazozisimamia. Hayo yameelezwa na Meneja Uhusiano na Mahusiano wa EWURA, Titus Kaguo wakati wa mafunzo ya udhibiti wa huduma za...
  2. H

    EWURA wamezuia petroli na dizeli kuuzwa kwenye madumu. Wenye mashine zinzazotumia nishati hizo wafanye nini?

    Sote tunatambua kuwa EWURA wamezuia mafuta ya petrol na Diesel kuuzwa kwenye madumu. Swali langu kwa wale watu ambao wana mashine zinazojienndesha kwa kutumia hiyo nishati watafanyaje? Kwa mfano nina trekta liko shamba kilomita kadhaa je kila nitakohitaji mafuta lazima niendeshe Trekta kwenda...
  3. EWURA yatoa wito na kutangaza kipindi cha kupokea mapingamizi wa waliopata leseni ya kufanya biashara ya mafuta Tanzania

    Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) hivi karibuni imetoa taarifa kwa umma kuhusu maombi ya vibali vya ujenzi wa miundombinu ya mafuta na leseni kwa ajili ya biashara na shughuli mbalimbali katika sekta ya mafuta ya petroli. Taarifa hiyo ya EWURA imewataja waliiomba vibali vya ujenzi...
  4. Bei ya Mafuta yashuka mwezi Novemba, EWURA yatahadharisha wauzaji

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta ya petroli na dizeli nchini kwa mwezi Novemba 2024, ikilinganishwa na bei za mwezi Oktoba. Kwa mujibu wa EWURA, bei ya petroli kwa lita moja kwa bandari ya Dar es Salaam imepungua kutoka Shilingi 3,011...
  5. EWURA yatangaza bei Kikomo za mafuta ya petroli zitakazotumika kuanzia Novemba 6, 2024, saa 6:01 usiku

    KUMB: PPR/2024-11/01 TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA BIDHAA ZA MAFUTA YA PETROLI KUANZIA JUMATANO, TAREHE 6 NOVEMBA 2024 Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia Jumatano ya tarehe 6...
  6. EWURA toeni ufafanuzi wa katazo la kuuza mafuta kwenye vidumu

    Ni kitu cha ajabu na kushangaza, nina kimashine changu nyumbani ambacho kinatumia petrol, miaka yote nimekuwa nikinunua mafuta kwenye vituo Siku za hivi karibuni nilienda kituo cha mafuta fulani nikaambiwa kuwa wamekatazwa na EWURA kuuza mafuta kwenye vidumu, nikaomba kumuona msimamizi wa kituo...
  7. EWURA yaagiza Mamlaka za Maji kuacha kupika takwimu za huduma zake

    Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira nchini zimeelekezwa kutoa taarifa sahihi kuhusu uendeshaji na utoaji wa huduma kwa kuwa taarifa hizo hutumika katika utekelezaji wa mipango ya Serikali inayolenga kuimarisha sekta ya maji nchini. Maelekezo hayo yametolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya...
  8. KERO Mafuta ya Petroli kuuzwa kwenye madumu kisha kusafirishwa katika magari ya Abiria sio salama, EWURA -Dodoma mpo?

    EWURA hii tabia ya wamiliki wa vituo vya mafuta kuuza nishati ya mafuta ya Petrol na Dizel kwenye madumu mtaikomesha lini huyu? Huyu kwenye picha ni mmoja kati ya Wananchi wanaonunua mafuta kwenye madumu katika Vituo vya Mafuta. Watu kama hawa wanafanya manunuzi ya nishati hii katika Kituo cha...
  9. EWURA watangaza bei za kikomo za Mafuta kwa Mwezi October: Mwezi wa Road trips!

    Wakuu, Naona mzigo unazido kushuka tu. Tukilinganisha na mwezi uliopita: Tuombee hivi hivi..
  10. Dkt. BITEKO na EWURA, Zuio la kuwauzia mafuta wateja wenye dumu (gallon) linaleta maafa vijijini kwa wakulima wanaotumia mashine za diesel na petrol

    Kuna hali mbaya inaendelea huku vijijini baada ya sheria, kanuni au amri ya kukataza wananchi wanaoenda vituo vya kuuzia mafuta na dumu au galoni wasiuziwe mafuta. Hii sheria au amri haikuzingatia maisha halisi ya nchi masikini kama Tanzania. Kuna mashine za kusaga nafaka, kukamua mafuta...
  11. EWURA yaonya uuzaaji petrol kwenye madumu

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa tahadhari kwa umma kutokana na kuongezeka kwa matukio ya milipuko ya moto yanayotokana na uhifadhi wa mafuta ya petroli kwenye vifaa visivyo salama kama madumu na chupa za plastiki. Katika taarifa hiyo, EWURA imewaonya wamiliki wa...
  12. EWURA wekeni msisitizo ujenzi wa vituo vya gesi badala ya mafuta

    Kumekuwa na mahitaji makubwa ya vituo vya gesi kutokana na wingi wa watumiaji kwa sasa. Nadhani ingekuwa busara sana kwa Ewura kusitisha utoaji leseni za vituo vya mafuta (petroli na diesel) na hasa kwenye miji mikubwa au majiji. Ni matumaini yangu itasaidia ktk kujenga uchumi kwa kuepusha...
  13. EWURA yatangaza Bei Kikomo za Mafuta kwa Mwezi Agosti, yamepanda tena

    Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza Bei Kikomo za Bidhaa za Mafuta zinazoanza kutumika leo Agosti 7, 2024 ambapo kwa Dar, Petroli imepanda kutoka Tsh. 3,210 hadi Tsh. 3,231, Dizeli kutoka Tsh. 3,115 hadi 3,131 na Mafuta ya Taa yameshuka kutoka Tsh. 3,261 hadi Tsh...
  14. Dkt. Biteko aitaka EWURA kupima uhusiano wa Rasimali na mabadiliko ya Maisha ya watu

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amezindua taarifa za utendaji katika Sekta ndogo ya Umeme, Gesi Asilia na Mafuta kwa mwaka 2022/2023 ambapo ametoa maelekezo mahsusi kwa Wizara na Taasisi mbalimbali kufanyia kazi taarifa hizo zinazoonesha mafanikio na changamoto katika...
  15. R

    Msaada: Anayejua zilipo ofisi za EWURA Kanda ya Mashariki (Dar es Salaam) anitajie zilipo

    Ndugu zangu naomba kujua zilipo ofisi za EWURA hapa Dar es Salaam. Nime-Google sehemu nyingine wanasema ziko Kijitonyama PSPF Tower, sehemu nyingine wanasema ziko Mawasiliano Tower, Sam Nujoma Road na simu zilizopo kwenye tovuti yao hazi patikani. Tafadhali kama unajua zilipo pamoja na namba...
  16. EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta, Petroli na Dizeli bei yapanda kuanzia Aprili 3, 2024

    Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo ya mafuta zilizoanza kutumika leo Aprili 3, 2024 ambapo kuna ongezeko la bei ya nishati za Petroli na Dizeli huku Mafuta ya Taa bei ikibaki kama ilivyokuwa Machi 2024. Upande wa Dar es Salaam bei ya Petroli ni Tsh 3,257 ikiwa...
  17. Biteko: EWURA zingatia maslahi ya Watanzania na maslahi ya nchi katika kazi za Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji

    EWURA ZINGATIENI MASLAHI YA NCHI KATIKA SHUGHULI ZA UDHIBITI WA MAFUTA NA MAJI -DKT. BITEKO ✔️ Awapongeza kwa kushusha gharama za uagizaji mafuta ✔️ Asisitiza EWURA kudhibiti vitendo vya urasimu na rushwa mahali pa kazi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka...
  18. D

    Waziri Biteko iwajibishe TPDC kwa makusudi wanayoifanya kwa watumiaji wa Gesi kwenye magari

    Kwa muda sasa kumekuwa na usumbufu mkubwa wanaoupata watumiaji wa magari ya gas. Foleni ya kujaza gas ni masaa 3 hadi 4. Hakuna sababu za msingi zaa kunyima watu vibali vya ujenzi wa vituo vya gas. Wajibisha hawa watu ili hili tatizo liishe.
  19. Kuna haja ya kuendelea kuwa na EWURA?

    Kama kila siku wanapandisha mafuta kwa kile wanachokiita kupanda kwa bei ya mafuta soko la dunia, kuna umuhimu wa kuendelea kuwa nao? Sana sana wanaongeza mzigo tu kwa serikali na kwa wananchi maana kwenye ile bei kutakuwa na chao tu. Yaani full tank ni bei sana mpaka hasira.
  20. U

    Rais Samia Kagusa TANESCO, TTCL, REA, POSTA. Mbona EWURA hajagusa?

    Katika sehemu au shirika lililoboronga EWURA ni namba moja, ikifuatiwa na TANESCO, ILA Mabadiliko yaliyofanyika hayajagusa kabisa EWURA, na sisi wananchi tunashangaa jambo hili. Tulitegemea EWURA nao waguswe, ila wameguswa wengine, Kuna Nini hapa , mana hata sielewi kabisa, Kilichomponza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…