ex girlfriend

Crazy Ex-Girlfriend is an American romantic musical comedy-drama television series that premiered on October 12, 2015 on The CW and ran for four seasons, ending on April 5, 2019. The series was created by Rachel Bloom and Aline Brosh McKenna, and stars Bloom in the lead role, Rebecca Bunch, a lawyer who moves from New York City to West Covina, California to pursue her high school boyfriend.
Throughout its four-season run, the show consistently drew low ratings while receiving rave reviews from critics. It is one of the lowest-rated shows in television history to be renewed through four seasons by its parent network.

View More On Wikipedia.org
  1. Tlaatlaah

    Wimbi la ma ex girlfriends na ex boyfriends zao kurudiana limeongezeka sana nowadays nchini, kulikoni?

    ni roho ya msamaha imeongezeka kwa wanadamu au alternative girlfriends na boyfriends imeshindwa kufanya kazi ipasavyo? je, ni ahueni kwa single mothers na single fathers kwamba sasa wanarudiwa rasmi? wabobevu, ndrugu zango wadau mnazungumziaje suala hili la kheri katika jamii zinazotunguka?🐒
  2. THE FIRST BORN

    Ni kitu gani 'EX' wako alisema kuhusu wewe mlivyoachana na kilikufedhehesha?

    Habari wanajukwaa la hili La Moto siku zote. Leo bhana nimekaa nikaikumbuka Ex yangu na kitu iliwahi nifanyia baada ya kuachana. Huyu binti nilikua napiga Miti sana enzi hizo nipo nae yani hadi Wakat wa baridi tulikua tunaoga Mara 3 katikati ya Match😂 Halaf yeye ndie alikua wa kwanza kusema...
  3. kyagata

    Nimemchagulia Ex girl wangu mume wa kumuoa

    Iko hivi.. Wakati niko na mahusiano na huyu bibie,nilijua alikua na mahusiano mengine na wanaume kama wawili hivi. So baada ya muda me nikaamua kupita hivi na Mia then tukabaki kama washkaji ingawa nilikua bado namega kisela. So ili kumfanya nae awe na mahusiano ya kueleweka nikamshauri...
  4. M

    Kuna ubaya kumwambia ex girlfriend wangu kwamba asinitafute maisha yake yote yaliyobaki?

    Kuna ex girlfriend wangu mmoja kwasasa tupo mikoa tofauti ingawa hakuna umbali sana katika ya mkoa aliopo yeye na mimi. Simuhitaji tena na ndio maana hata naweza nikakaa hata miezi mitatu au sita bila kumtafuta na namba zake za simu nilishafutaga na kichwani pia hazipo mana sina kawaida ya...
  5. S

    Alinilingia kunipa mbususu sasa nimeoa lakini bado ananitafuta

    Huyu binti niliwahi kuanzisha nae mahusiano dakika za mwisho mwisho wakati nakaribia kufanya mtihani wa kumaliza mwaka wa tatu chuoni (UE) Wakati naingia nae kwenye mahusiano yeye alikua anasoma level ya certificate na mimi nilikua namalizia mwaka wa mwisho wa degree yangu ya kwanza. Baada ya...
  6. Dr Count Capone

    Ex harudiwi. Ilikuwaje ulipomrudia Ex wako? (Ushuhuda)

    Najua mna pilika pilika zenu hata mimi nina za kwangu pambaneni tu Moya kwa moya kwenye mada. Ndugu zangu watukufu wanachama wa MMU nianze kuwaambia kuwa nyuzi na maoni yenu hutumika ku kuinspire watu wengi sana hata bila ninyi kujua Binafsi nimepitia mahusiano mengi ila kati ya yote sikuwahi...
  7. Joao de Matos

    Jamaa kutambulisha ma-Ex girlfriend wake wote ukumbini

    Last week Kuna harusi moja, niliitafuta clip yake nikaipata. Bwana harusi amewatambulisha ex wake ukumbini, lakini aliwaomba wasisimame, hi inaonesha aliwaharika kwenye sherehe. Bwana harusi huyo alimuuliza mke wake(Bibi harusi) Kama atakuwa amemkwanza lakini alisema hapana, Kitu hiki...
  8. Baba jayaron

    Aliyekuwa mke wangu, analazimisha kunirudia

    Mabibi na mabwana, Yule shemeji yenu aliyenivuruga na kunitelekeza na watoto kwa mbwembwe na kiburi sasa ana-force kurudi akiwa hoi bin taaban. Anadai hata nikim-crash vipi mimi ndio mume wake baba watoto wake. Maajabu na sasa. Yaani msg simu haziishi sorry za kila aina mhhh sijui katumwa huyu...
  9. K

    Nimejificha baada ya kumuona Ex girlfriend anaendesha V8 new model

    Kwema ndugu zangu? Jamani haya maisha yaacheni tu yaitwe maisha. Kuna sehemu nina kabiashara kangu ka kuzugia ili siku ziende hapa mjini. Sasa kikawaida asubuhi huwa namuacha kijana wangu anasimamia haka kabiashara then jioni kama hivi nikiwa nimetoka kwenye mishe zangu zingine naungana na...
  10. Deejay nasmile

    Mmekutana baa na ex wako..je utamshukuru dj kwa wimbo gani

    Imetokea tu..mmekutana baa Wewe meza hii na yeye meza ya pembeni...dj akipiga wimbo gan utamshukuru sana..tena ikiwezekana utaimba kwa sauti/au kucheza kwa madoido
  11. demigod

    Ex Girlfriend kaniganda

    Tuliachana kwa sababu zenye mashiko. Ila haishi kutuma text za kunijulia hali, Mara ohhh nimemiss ile sehemu tulipokuwa tuna kunywa vinywaji, mara aanze kunitumia text kuhusu rafiki zake ambao niliokuwa nikiwafahamu pia. Majuzi kanilipia kadi ya harusi ya mmoja wa ndugu zake ety anataka...
  12. Gily Gru

    Kwako kipimo cha mke bora ni kipi?

    Kitanda changu ni nne kwa sita, mke wangu aisee ana staha sana. Kinachofurahisha Zaidi ukimshika mgongo nywele zinasisimka, ukimshika paja linatelezaa tu, ukimnong’oneza mpaka nywele za kichwani zinasimama, ukimbinya hata sauti inabadilika “mm m-mm-e wangu” Ukimaliza anashukuru na siku...
Back
Top Bottom