express

Express mail is an expedited mail delivery service for which the customer pays a premium for faster delivery. Express mail is a service for domestic and international mail, and is in most nations governed by the country's own postal administration. Since 1999, the international express delivery services are governed by the EMS Cooperative.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Niliomba kazi Western Governors University lakini kuna fomu nimeambiwa nilipe usd 20, je nilipe au niutapeli?

    Habari wapendwa… Hivi juzi apo niliona tangazo la kazi kutoka Western Governors University (ni chuo cha online originated huko Marekani), nikafanya interview ( phone interview) na siku chache mbeleni wakaniambia hongera kwa interview na wakanitaka nikusanye taarifa zangu za kibenki kwaajili ya...
  2. Dar Express zimebaki Stori/Zilipendwa

    Ile kampuni pendwa ya USAFIRISHAJI nchini inapumulia Mashine baada ya Mama wa familia ambae alikua msimamizi Mkuu wa biashara kutangulia mbele ya Haki (RIP) Miaka kadhaa iliyopita. 1. Mabasi chakavu, 2. Hotel Korogwe, huduma mbovu, 3.Ofisi ya Kisutu kufungwa. **Wazee wa Kichaga kwann...
  3. Tanzanians Express Discontent Over Mixx by Yas Rebranding

    Dar es Salaam, Tanzania – Tigo Tanzania's recent rebranding of its mobile financial services from Tigo Pesa to Mixx by Yas has sparked mixed reactions among Tanzanians. While the company aims to modernize its brand and offer enhanced digital services, many users have expressed dissatisfaction...
  4. Gari la mwendokasi la express, dereva kusimamia kila kituo kisa watu wanaomba msaada inakera sana

    Kuna hii hali mtu unapaanda gari mwendo kasi una haraka zako unakuta gari ya express unaamini itakusaidia kuwahi unapoenda basi abiria wanasogea kwa dereva kuomba msaada vituo vyo ambavyo havipo kwenye utaratibu wa express. Tanzania bado sana aiseee Hivi pale Dubai upande metro uende kwa dereva...
  5. Vichwa vya treni ya SGR kupewa jina la "Samia Express", Watanzania tumekwama wapi?

    Salaam Wakuu, Naishukuru Serikali kwa kupitia Shirika la reli Tanzania TRC kwa kuendelea na jitihada za kuboresha miundombinu yetu la reli. Ila kinachonisitikisha, ni uamuzi wa kupachika jina la Mwenyekiti wa chama cha Siasa(CCM) bla kuwashirikisha Wananchi Wanaotoa kodi zao. Hii ni haki...
  6. Invitation To Express Interest at Equinor April, 2024

    Invitation To Express Interest Equinor Tanzania AS, invites interested companies to submit Expressions of Interest for the below services to be carried out onshore the United Republic of Tanzania. LOT 28: PROVISION OF DRIV ERS AND FLEET MANAGEMENT SERVICES Companies interested by this...
  7. S

    Express air cargo China to Tanzania

    Habari, Karibu CITIZEN CARGO LTD Kampuni ya usafirishaji wa mizigo kutoka CHINA kuja TANZANIA Kwa Ndege (Express Air Cargo) Gharama zetu ni nafuu kama ifwatavyo; 1. From 1Kg - 10Kg: 12$/Kg 2. From 11Kg - 20Kg: 11$/Kg 3. From 21Kg & Above: 10$/Kg NB: Bei zetu ni Negotiable. Muda ni siku 3...
  8. KERO Utingo wa Basi la kampuni ya Dolphin Express (njia ya Dodoma-Arusha/Moshi) ndio kinara wa kuibia abiria

    Kama ulikuwa hujui hilo basi sasa anza kuchukua tahadhari mapema. Ama usipande kabisa hilo basi au ukipanda huku ukikaa kwa tahadhari kubwa sana, maana utingo wa basi ndio mastermind. Kampuni ya mabasi ya Dolphin Express kwa sasa huenda ndio inaongoza kuwa na makondakta (utingo) wezi wa mali za...
  9. Express of Interest (EOI) for the Provision of Transport and Logistics Services for WFP Tanzania January, 2024

    Express of Interest (EOI) for the Provision of Transport and Logistics Services for WFP Tanzania (2024 – 2025). Express of Interest (EOI) for the Provision of Transport and Logistics Services for WFP Tanzania (2024 -2025). The United Nations World Food Programme (WFP) is a humanitarian...
  10. Je zuberi/kisesa express ndio tajiri zaidi kwenye sekta ya usafirishaji? Kwanini hajapandisha nauli?

    Huku magari mengine kama katarama, allys star, isamilo, Abood, happy nation, dar lux (sijui kapotelea wapi) wakikimbizana kupandisha nauli ya Mwanza to dar kwa Sasa ni 78,000/= huyu jamaa zuberi yeye kaishia hapo kwenye 60,000/= yaani huyu Mwamba hajaanza Leo, tokea miaka hiyo yeye nauli zake ni...
  11. TAMWA ZNZ, MCT urge political parties in the country to allow their privileged female members to use their fundamental right to express themselves

    PRESS RELEASE 05th September, 2023. In a joint press statement issued by Tanzania Media Women’s Association (TAMWA Zanzibar), Media Council of Tanzania (MCT) Zanzibar, Union for Journalists who write Development Stories Zanzibar (WAHAMAZA), and Zanzibar Press Club (ZPC) in collaboration with...
  12. Mbeya: Madereva wa mabasi ya New Force, Zanuni, Rungwe Express, Super Rojas, Abood Bus Service na Kyela Express wafungiwa leseni kwa muda

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kuzuia na kudhibiti ajali za barabarani kwa kushirikiana na mamlaka na wadau mbalimbali wa usafirishaji katika Mkoa wa Mbeya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamini Kuzaga amesema Jeshi hilo linaendelea kuimarisha na kufanya misako na doria katika...
  13. Morning Express ya UFM ni kipindi bora cha asubuhi kwa Tanzania

    Habari zenu jamani, Beberu nawasalimu kwa bashasha kubwa, Kwa vipindi vya Asubuhi ndani ya nchi hii hakuna kipindi bora zaidi ya Morning Express cha UFM. Napendea kipindi hiki vitu vifuatavyo: ✓ Wanatumia kiswahili sanifu sana, Hakuna kiswanglish huku ✓ Wanareport kwa utaratibu, hakuna...
  14. J

    Mtei Express Babati - Dar mna huduma mbovu sana zisizoendana na nauli

    Hili basi lilipoanza huduma ya Luxury mara ya kwanza lilikuwa vizuri ila kadri siku zilivyoenda huduma zimegeuka kuwa za hovyo sijui tatizo ni nini, Usimamizi mbovu no customer care at all imagine na hii ni Luxury na imeidhinishwa kama gari la level ya Luxury na wanatambulika LATRA kama Luxury...
  15. Mabasi ya Allys Star na Katarama Express yapigwa 'Stop' kusafiri usiku

    Uamuzi huo umetolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA) baada ya kubaini Mabasi hayo kuchezea Mfumo wa Kufuatilia Mwendo (VTS) kwa lengo la kusafiri kwa Mwendokasi ili kushindana kufika Stendi. Kwa mujibu wa LATRA, watoa huduma hao wamekuwa wakitumia fursa ya kuanza safari...
  16. F

    Ali Express wanatumia local delivery company gani Tanzania ukitoa Posta?

    Habari wadau. Nina mzigo wangu nimenunua aliexpress mwezi wa 3. Mzigo ulisafirishwa kwa Ali express standard shipping. Na nilipewa tracking number. Nimeutrack mzigo ukaonesha umefika Tanzania kwenye sorting centre na kisha ukakabidhiwa kwa local delivery company.. ambayo hawajaitaja jina...
  17. LATRA yasitisha Leseni za baadhi ya mabasi ya Dar Express, Kidia One, Luwinzo, Super Feo

    Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini LATRA imesitisha leseni za usafirishaji kwa mabasi 22 kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Februari,2023 Hatua hii ni kutokana na vitendo vya kuingilia Mfumo wa Kufuatilia Mwenendo wa Magari (VTS) na kusababisha mfumo kutotuma taarifa ama kutuma taarifa kwa...
  18. Wekeza sasa kwa Scandinavia Express ijayo | Biashara ya Mabus

    Habari Wakuu, Matumaini yangu mko njema na kwa wale wanaopitia heka heka na magumu Mungu abariki mihangaiko yenu iwe yenye kulipa fadhila la jasho lenu linalochuruzika kila kukicha. Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye kiini cha uzi huu. Kwa miaka kadhaa sasa baada ya anguko la...
  19. Ajali ya Basi la Arusha Express na Lori yaua watano Dodoma

    Ajali muda huu maeneo ya Mzakwe (Dodoma)basi la Arusha Express likitokea Arusha kueleka Dodoma. Tusubiri mamlaka husika zitatoa taarifa za vifo na majeruhi ==== Ajali imetokea mchana huu eneo la Veyula mjini Dodoma. Basi kampuni ya ARUSHA express ikitokea Arusha kwenda Mbeya, Imegongana uso...
  20. Kampuni ya Mabasi Dar Express inakwama wapi?

    Hii kampuni ina jina kubwa kutokana na Ubora wa huduma ambazo iliwahi kuzitoa hapo siku za nyuma ikambatana na kuwa na mabasi mazuri yenye kiwango, ofisi nzuri na wahudumu wanaojali wateja. Kwa sasa sijui ni kitu gani kimewakumba hawa jamaa, kwanza kabisa utunzaji wao wa magari umekuwa ni wa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…