The FA England Awards was an award ceremony hosted by The Football Association but is now an annual online vote for England supporters. The inaugural edition took place on 3 February 2003, although The FA Women's Football Awards started in 1999.
Imebainika kuwa Klabu za England zinalengwa na wadukuzi, ambao wanatuma ankara za ulaghai kuhusu uhamisho wa wachezaji wa nje ya Nchi hiyo.
Suala hilo ni zito, Chama cha Soka Cha England (FA) kimetuma onyo kwa Klabu na kuzitaka kupitia barua pepe zao za usalama na kuzitaka idara zao za fedha...