fally ipupa

Fally Ipupa N'simba (born December 14, 1977), known by his stage name Fally Ipupa, is a Congolese singer-songwriter, dancer, philanthropist, guitarist and producer. From 1999 until 2006, he was a member of Quartier Latin International, the music band formed in 1986 by Koffi Olomidé.His first solo album was Droit Chemin released in 2006, which went on to sell over 100,000 units, and his second album Arsenal de Belles Melodies was released in 2009. In 2007, Fally Ipupa won the Kora Awards for Best Artist or Group from Central Africa.In 2010, Fally Ipupa won the MTV Africa Music Awards 2010 for Best Video for "Sexy Dance" and Best Francophone Artist. He won the urban awards for Best African Artist.Fally Ipupa was nominated in the Best Live Act category at the MTV Africa Music Awards 2014. He released an album named Power "Kosa Leka" in 2013. Ipupa, who is also a noted guitar player, connected with audiences stateside with "Chaise Electrique", a bilingual love song featuring former G-Unit singer Olivia.

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Nani ni mfalme wa Rhumba kwa sasa. Ferre Gola au Fally Ipupa.?

    FERRE GOLA: https://youtu.be/lmMoO456gXw?si=1FxvRZ5BF_2wg4nw https://youtu.be/jUc80c6IpqI?si=rYF94acrDLLggmhe https://youtu.be/M4Eho6jM_3A?si=5ZUeljiagHvM-waj https://youtu.be/cZVtH6S34wU?si=CuQJy_-MPm-DL0Dn https://youtu.be/BsU9lbPCZUQ?si=zYaSYV8bsRFIQsJT FALLY IPUPA...
  2. Mi mi

    MARIA PM Fally Ipupa

    intro Mokili ekoti matata di The world is full of troubles Eric Mandala le docteur des ignorants et Maria Piron Eric Mandala the Doctor of the Ignorant and Maria Piron Wo-wo-wo-wo... Wo-wo-wo-wo... Maria Piron, maman na Erika, Alvina et Nazeria Mandala Maria Piron; Erika's, Alvin's and Nazeria...
  3. Simchezo

    Fally Ipupa- aje Simba day

    Napendekeza Kwa uongozi wa Simba Sc ikiwezekana mwanamuziki Fally Ipupa- wa Congo aliye kwenye viwango vya juu atumbuize siku hiyo. Yanga wamekuwa wakimleta Koffi Olomide.
  4. TUKANA UONE

    Hakuna na hakutatokea ngoma Kali ya Hip Hop ya kushirikiana hapa Tanzania na Afrika Mashariki kuizidi MTAZAMO

    Hii ngoma iliyokutanisha manguli wa muziki wa Rap hapa Tanzania Kwa miaka hiyo kiukweli ilipikwa,ikasukwa na ikasukika ki kwelikweli! Kiukweli ninayo Jeuri kusema ya kwamba "Kama Kuna mtu anadhani Kuna ngoma Kali kuizidi hii naomba aiweke hapa na nitampatia Tsh 100,000/= Hii ngoma iliachiwa...
  5. Kitotole

    Tafsiri ya wimbo 'Centieme dossier' wa Fally Ipupa

    𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : Centieme dossier 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : FALLY IPUPA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI "𝙅𝙚 𝙠𝙪𝙢𝙥𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙯𝙖 𝙨𝙖𝙝𝙞𝙝𝙞 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙞𝙨𝙝𝙞 𝙣𝙖𝙮𝙚 𝙣𝙞 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙖𝙢𝙖 𝙟𝙞𝙩𝙖𝙝𝙖𝙙𝙖 𝙯𝙖 𝙢𝙩𝙪?? 𝙅𝙞𝙗𝙪 𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙣𝙖𝙡𝙤. 𝙄𝙡𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙝𝙞𝙠𝙞 𝙠𝙞𝙗𝙖𝙤 𝙩𝙪𝙣𝙖𝙖𝙢𝙗𝙞𝙬𝙖 𝙠𝙬𝙖𝙢𝙗𝙖 𝙠𝙪𝙣𝙖 𝙢𝙩𝙪 𝙖𝙢𝙚𝙥𝙞𝙩𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙢𝙖𝙝𝙪𝙨𝙞𝙖𝙣𝙤 𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞𝙢𝙗𝙖𝙡𝙞 𝙩𝙖𝙠𝙧𝙞𝙗𝙖𝙣𝙞 99 𝙗𝙞𝙡𝙖 𝙢𝙖𝙛𝙖𝙣𝙞𝙠𝙞𝙤, 𝙞𝙡𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚...
  6. GENTAMYCINE

    Niliwaonya hapa hapa kuwa Kawaondoeni Ndugu zenu kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola kwani 'Namba M' hawana Masihara mkanipuuza

    Na baadhi ya wale ninaoongea nao kutoka kwa akina Fally Ipupa na Ferre Gola wanasema kuwa Walioondoka na Pumzi ya Moto siyo Watatu ila wako Tisa na huenda Wasafiri wengine wa Kuondoka na hawa Abiria Wazembe Watatu hadi Kenda ( Tisa ) tunaotamba nao Wakaongezeka. Shikamooni sana Namba M na labda...
  7. GENTAMYCINE

    Shikamoo Fally Ipupa kwa hili Rhumba lako Kali na Tamu la MAYDAY

    Pole sana Ferre Gola kwani kila ukijitahidi kumkimbiza na kumkuta Mpinzani wako Fally Ipupa tokea mkiwa Waimbaji na Wanenguaji wa Kiume wa Koffi Olomide unakuta ameshafika mbali Kimuziki muda mrefu sana. Sauti ya Kipekee ya Fally Ipupa inaendana vyema kabisa na Nyimbo zake zote za taratibu (...
  8. UMUGHAKA

    Huwa sielewi watu wanatoa wapi Uhalali wa kumfananisha Mwanamuziki Fally Ipupa na Feregola!

    Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane! Hivi huwa mko Serious au huwa mnatania?,yaani Mwanamuziki Fally Ipupa mnamfananisha na Fere Golla? Sijajua aliyeanzisha huu mpambano kama yuko timamu kichwani. Koffi olomide amewahi kukaliliwa akisema "Moja kati ya waimbaji na wana jumuia wangu wa bendi...
  9. babukijana

    Werrason, Ferre gola, Fally Ipupa

    Kwenye swala la muziki ,wera namuelewa sana toka bcbg kitambo tu. Wera yuko vizuri sana kwenye utunzi, pilika za jukwaani hawezi, nakumbuka bcbg adolph domingez na Emilia walikua wanamtoa jukwaani mapema tu. Sasa yuko Ferre, Le padre parazullia. Huyu dogo alikua mbeba makoti ya Jibe...
  10. Mto Songwe

    Kati ya 100 kilos ya Ferre Gola VS Associe ya Fally Ipupa ipi ilikuwa na bado ni ngoma kali

    Kuna hizi ngoma kali mbili za hawa miamba kutoka Congo Associe ya Fally Ipupa na 100 kilos ya Ferre Gola. Mbivu na mbichi itajulikana. Ni ngoma ya mkali gani imenyooka vizuri upande wako kati ya Associé - Fall Ipupa [Intro] Assoc, associé L'empereur Tchatcho Mbala Kashogi Ba diamants ebele...
  11. Vincenzo Jr

    Wimbo wa Fally Ipupa 'Mayday'

    Adolphe na ngai ngai na ye epa na yo Po o apaiser ngai motema unième fois Amour e rendre ngai veuve yo vivant Mon amour tue-moi une bonne fois Adolphe Aah Papa na leli réponds-moi pardon chéri Cimetière réservé libulu ba sombi caveau Famille ba lembi ko consoler ngai po naza mourante (déjà) Aah...
  12. EJM_

    Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

    Kwenye muziki wa kisasa wa Rhumba hasa kutoka DRC Kuna wanamuziki wawili wanaoshindana kwa ukaribu sana. Je nani kati Yao ni mkali kwa mtazamo wako kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola? Hapa nitataja baadhi ya nyimbo zao ambazo ukiweza kuzisikiliza zinaweza kukupa mwanga wa kuamua kwenye hili...
  13. Vincenzo Jr

    Wale wapenzi wa Muziki wa Rumba ni ngoma gani kalii na album kalii unaikubali kutoka kwa Fally Ipupa

    Album zake ni 1.Tokooos 2.Arsenal de Belles Melodies 3.Droit Chemin 4.Tokooos II 5.Power "Kosa Leka" 6.Control 7.Formule 7. Kwangu album kalii kutoka kwake ni control na ina vibao kama maria na flye ila album zilizo nikosha roho sana yaani kali sana ni Tokooos kuna...
  14. GENTAMYCINE

    Haya Mashabiki Wenzangu wa Rhumba na Congo Music Fally Ipupa kaachia Rhumba Kali la MAYDAY

    Hapo nyuma niliwaletea Rhumba lake Kali liitwalo Se Yo na hata bado hatujatosheka na Utamu wa huo Wimbo tayari Fally Ipupa katuletea Rhumba lingine Kali na Tamu liitwalo MAYDAY. Litafuteni haraka ili mlisikilize ila kwa Mimi GENTAMYCINE sasa nataka kuingia Chimbo nijue ni kwanini huyu Mtoto...
  15. Teslarati

    Tuseme ukweli: Wimbo wa Bakanja wa Fally Ipupa ni timeless, vibe lake halitakuja kuchuja

    Sina mengi.. Hii ngoma nadhan jamaa alizindika sana kabla ya kutunga na kuitoa, ngoma haipotezi radha, sio kama miziki baadhi ukishasikiliza miaka miwili mitatu ile excitement inatoka, lakini nikisikia hata hapa Bakanja inapigwa lazima ni-feel amani kabisa na kutingisha kichwa polepole. Long...
  16. GENTAMYCINE

    Kama bado hujasikiliza hili Rhumba Kali 'Se Yo' la Fally Ipupa Wewe siyo Rafiki yangu hapa Jamiiforums

    Kwa Rhumba hili Kali 'Se Yo' lake Fally Ipupa 'Decaprio" itoshe tu kisema Shikamoo Fally Ipupa popote pale ulipo. Mpinzani wako mkubwa Ferre Gola ana Kazi ya ziada ya Kukujibu kwani ni Wimbo mtamu, mzuri, umepangika na umeutendea haki na Sauti yako ya Dhahabu.
  17. BARD AI

    Congo DR: Watu 11 wafariki kwa kukanyagana kwenye tamasha la Fally Ipupa

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini humo amesema mkanyagano ulisababisha vifo vya watazamaji tisa na maafisa wawili wa polisi wakati wa tamasha lhilo kwenye uwanja mkubwa zaidi wa michezo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Watu wengi sana walikuwa wameruhusiwa kuingia katika...
  18. MamaSamia2025

    Hii show ya Fally Ipupa, Kinshasa itaweka rekodi ambayo haitavunjwa kirahisi.

    Wakuu nimesoma mitandaoni kuhusu show ya Fally Ipupa huko kwao Kinshasa nikabaki kinywa wazi. Huyu jamaa yuko serious. Hakuna longolongo. Yaani pamoja na kufanya promo kwa mbinu zilizozoeleka lakini kijana akaamua kukodi ndege kadhaa kwa ajili ya kutangaza show mjini Kinshasa. Tazama picha jinsi...
  19. H

    Huu wimbo wa fally Ipupa "Eloko oyo" una maana gani?

    Mwenye kujua maana ya Huu wimbo aniambie naupenda Sana
  20. Erythrocyte

    Fally Ipupa hana thamani kubwa kama ambacho waandaaji wa Tamasha lake wanataka kuwatoza wadau

    Huyu kijana ni mwanamuziki wa kawaida sana, hii gharama ya viingilio vya mlangoni ambavyo waliomleta wanatutoza ni wizi wa mchana. Ni kweli tuna njaa na rhumba lakini kwa nchi iliyokongoroka kama hii na kwa viwango hivi haiwezekani Wasio na hela(seat): 100,000 VIP Table ...
Back
Top Bottom