fao

The Food and Agriculture Organization of the United Nations (FAO) is a specialized agency of the United Nations that leads international efforts to defeat hunger and improve nutrition and food security. Its Latin motto, fiat panis, translates to "let there be bread". It was founded in October 1945.The FAO is composed of 197 member states. It is headquartered in Rome, Italy and maintains regional and field offices around the world, operating in over 130 countries. It helps governments and development agencies coordinate their activities to improve and develop agriculture, forestry, fisheries, and land and water resources. It also conducts research, provides technical assistance to projects, operates educational and training programs, and collects data on agricultural output, production, and development.The FAO is governed by a biennial conference representing each member country and the European Union, which elects a 49-member executive council. The Director-General, currently Qu Dongyu of China, serves as the chief administrative officer. There are various committees governing matters such as finance, programs, agriculture, and fisheries.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Malipo ya fao la kukosa ajira kila mwezi (33.3%)

    Ndugu wana JF, Nimekuwa naomba kupewa muongozo kuhusiana na hayo malipo ya NSSF. Kwa ufupi baada ya kufatilia kwa muda wa miezi mitatu nilifanikiwa kupewa instalment ile ya kwanza (33.3%) ya basic salary, tarehe 7 mwezi wa kumi. Kinachonitia shaka sioni update yoyote ya invoice ya pili, kwa huu...
  2. ECTAD Programme Driver at FAO

    Organizational Settings The Food and Agriculture Organization of the United Nations (FAO) through the funding from the United States Agency for International Development (USAID), is implementing a programme “Supporting the Global Health Security Agenda to address Zoonotic Disease and Animal...
  3. N

    Swali kuhusu NSSF kwa waliowahi kulipwa fao la kukosa ajira

    Naomba kuuliza kwa wale ambao wameshawahi kulipwa fao la kukosa ajira. Inapotokea kwenye akanti yangu ya NSSF kwenye status inaonyesha Approved na salio linasoma 0.00 huwa inachukua siku ngapi mpaka pesa kuingia kwenye akaunti ya benki ya mwanachama ? Asanteni kwa mtakaonijibu...
  4. J

    FAO yaishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi soko la Kimataifa

    Shirika la Chakula duniani FAO limeishauri Tanzania kuweka kipaumbele katika zao moja la kilimo litakaloitambulisha nchi yetu kwenye soko la kimataifa. Chanzo: Radio One My take; Pendekeza zao, binafsi Napendekeza Korosho ======= Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO)...
  5. NSSF mnawatesa Wajawazito wa Fao la Uzazi; Customer Care mbovu ofisi za Ubungo

    Ni week ya sasa Wajawazito katika ofisi mbalimbali za jiji la Dar es Salaam hawapati huduma,iwe Ubungo au Ilala kwa wakazi wa Dar es Salaam. Inaenda karibu week ya pili sasa kwa wajawazito ukienda kwenye ofisi za NSSF kwa ajili ya Fao la Ujauzito ni kero tupu,sababu mara mtandao unasumbua mara...
  6. S

    Waraka kwa Rais Samia Suluhu Hassan: Kilio cha wafanyakazi kwenye hifadhi ya jamii

    Waraka kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwanza kabisa kwa vile ni mara yangu ya kwanza kuandiaka toka Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan Ushike hatamu za Uongozi wa nchi yetu, nachukua nafasi hii kukupongeza sit u kwa kuwa Rais wa nchi yetu lakini kwa namna ambavyo...
  7. Fao la kutokuwa na ajira

    Habari zenu wadau? Wadau naomba kuuliza kwa wale wenzangu na Mimi tunaolipwa fao la kutokuwa na ajira, naomba kuuliza kwa wengine je mmeshalipwa malipo ya mwezi huu wa nne maana kwangu mpaka tarehe ya Leo bado sijaona salio likisoma naombeni majibu wadau. Ahsanteni sana.
  8. T

    Rais Samia, naona kuna haja ya kulitazama upya Fao la Kujitoa katika Mifuko ya Hifadhi za Jamii

    Poleni Watanzania. Kwako Mama Samia Suluhu, nakuomba sana uturudishie haki yetu iliyopotea ghafla ya fao la kujitoa NSSF. Nakuomba sana futa sheria kandamizi dhidi ya Wafanyakazi. Mtu anaacha kazi kafanya miakaa 15 au 20 halafu unakuja kumwambia asubirie mpaka afikishe miaka 55 au 60 je hii ni...
  9. K

    Wafanyakazi wanaonyimwa fao lao sio wanyonge?

    Ninaomba tafsiri ya wanyonge kwa nchi hii tafadhali? Maana ninapata shida kusikia Boda Boda ni mnyonge, na nina ushahidi hawa vijana wa Boda Boda, wanaingiza kipato zaidi ya shilingi laki sita kwa mwezi. Mfanyakazi mwenye mshahara wa laki tatu hadi laki tano, mkataba wake unaisha, ananyimwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…