Hii inahusu wanaume japo yaweza kuwahusu na wanawake pia.
Usifanye huu ujinga baada ya kuonja utamu na mpezi wako - amekupa utamu faragha mkiwa wawili tu yaani wewe na yeye, kisha ukamgeuka na kwenda kuwasimulia watu wako wa karibu, mabest zako, ndugu wa udugu, na washirika wengine wa kiume na...