farasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    Nadharia ya farasi mfu

    "Nadharia ya Farasi Aliyekufa" ni sitiari ya dhihaka inayoonyesha jinsi baadhi ya watu, taasisi, au mataifa hushughulikia matatizo ya wazi yasiyoweza kutatuliwa. Badala ya kukubali ukweli, wanashikilia kuhalalisha matendo yao. Wazo la msingi ni rahisi: ukigundua kuwa unapanda farasi aliyekufa...
  2. R

    Unyakuo u karibu, nimemwona King Jesus mawinguni amepanda farasi mweupe akiwa na jeshi kubwa la Malaika na Watakatifu

    Salaam,Shalom!! Nalikuwa katika Roho, usiku, ndani ya nyumba, ghafula nikapata uwezo wa kuona nje mawinguni. Naliona jeshi kubwa la Malaika na WATAKATIFU wakiongozwa na jemedari mkuu, Yesu Kristo, amevaa taji yenye kungaa sana kichwani mwake, mikononi alishika upanga ungaao sana, alipita...
  3. Kasie

    Raha ya mwanamke kuendesha/kupanda farasi

    Kama kawa, kama dawa.... Asili kuacha ni kimbembee.... https://youtube.com/shorts/FGKi35ClhvM?si=TYfyZ1TtOMv45IZt Muonekano hapo juu wa picha unasema yote, mwanamke akiwa juu ya Farasi.... Utaona tuu, hatuliii Atatikisika tuu kama si mabega basi matiti ama tumbo ama bambataa aahahahahhaa...
  4. Roving Journalist

    Askari wa kikosi cha Mbwa na farasi wawafariji wagonjwa na wahitaji Hospitali Zakhem

    Askari Polisi wa kike kikosi cha Mbwa na farasi Makao Makuu Dar es salaam wameendelea kuyakumbuka makundi ya wahitaji licha ya kuwa na dhamana ya kuwalinda raia na mali zao ambapo wamewafariji wagonjwa katika hospitali ya Zakhem iliyopo Mbagala wilaya Temeke Mkoa wa Dar es salaam na kutoa vitu...
  5. R

    Nachukua fursa hii kukukumbusha mwana wa Mungu kusafisha vazi lako Kila wakati maana hatujui siku Wala saa atakayorudi Yesu kutuchukua

    Salaam, Shalom!!! Nilikuwa nimelala chumbani, ghafula, macho yangu ya Roho yalifunguka, Mara nisikia sauti kuu ya tarumbeta/ baragumu juu angani, kuwapo chumbani hakukunizuia kuona yaliyokuwa yakiendelea angani, Mara alipita farasi mweupe sanaa, kung'aa kwake farasi yule kulinishangaza, na...
  6. B

    Moto Kampeni Uchaguzi Mkuu wa DR CONGO 2023, Farasi wawili Moïse Katumbi vs Felix Tshisekedi

    19 November 2023 Kuelekea uchaguzi mkuu nchini DR Congo nchi yenye utajiri mkubwa wa maliasili kama madini, uvunaji magogo ni watia nia wawili wa uRais ndiyo wanaoutia moto uchaguzi https://m.youtube.com/watch?v=XzU9u6Y4bzg Moïse Katumbi amewasiki Maniema na kupokelewa na umati mkubwa wa...
  7. JanguKamaJangu

    Kipa wa PSG apata ajali mbaya akiendesha farasi, awekwa chini ya uangalizi maalum

    Sergio Rico ambaye ni kipa namba 2 wa Paris St-Germain amepata majeraha makubwa katika ajali wakati akiendesha farasi Nchini Hispania alipoenda kwa ajili ya mapumziko. Rico (29) alikuwa katika Mji wa Huelva na baada ya ajali hiyo iliyohusisha farasi kugongana alisafirishwa kwa helikopta...
Back
Top Bottom