farida mgomi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Pre GE2025 DC Ileje: Kampeni ya Samia Legal Aid imeonesha umuhimu wa kuwafikia Wananchi wasioweza kumudu gharama za Mawakili

    MKUU wa Wilaya ya Ileje, mkoani Songwe, Farida Mgomi, amepongeza Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama ya Samia (Samia Legal Aid) kwani katika mikoa ambayo imefikiwa na kampeni hiyo imeonesha umuhimu wa pekee wa kuongeza wigo wa ufikiaji haki kwa wananchi hususan walio pembezoni na ambao...
  2. Roving Journalist

    DC Farida Mgomi: Vitendo vya ukatili wa Kijinsia vinarudisha nyuma Ustawi wa Jamii na Uchumi wa Taifa

    Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi amewaasa wananchi wa Wilaya ya Ileje kuungana na kushirikiana kwa pamoja kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia, kwa kukemea na kushirikiana na Vyombo vya Dola kutoa taarifa ya vitendo vya ukatili wa kijinsia ili kuhakikisha jamii inabaki salama dhidi ya...
  3. JanguKamaJangu

    Songwe: DC Farida Mgomi asema “Tumieni mikopo ya 10% kwa matumizi lengwa ili mpate marejesho”

    Mkuu wa Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe, Farida Mgomi ametoa rai kwa vikundi vya maendeleo vilivyonufaika na mikopo ya Asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri kuitumia mikopo hiyo kwa matumizi lengwa sambamba na kukumbuka kuirudisha ili kutoa nafasi kwa vikundi vingine kupata nafasi ya kukopa...
Back
Top Bottom