fariki

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JanguKamaJangu

    TANZIA Rais wa Namibia, Hage Geingob afariki Dunia

    Namibia imempoteza Rais wake, Hage Geingob ambaye amefariki Dunia wakati akiendelea na matibabu ya Saratani hospitalini katika Mji Mkuu wa Nchi hiyo, Windhoek. Taarifa ya Makamu wa Rais wa Namibia, Nangolo Mbumba imeeleza kuwa msiba huo umetokea usiku wa kuamkia leo Februari 4, 2024. Geingob...
  2. Prof Koboko

    Alaah, Fariki usemwe!

    Waswahili waliwahi kunena kuwa....kufa ili usemwe, haijalishi ni kwa ubaya au uzuri, ilimradi usemwe tu kwa sababu huwezi kujibu chochote. Hivi ni kweli JPM kwa kipindi chake cha miaka 5 alikopa zaidi ya Trillion 29? Hizi pesa pamoja na miradi yote hii aliyoacha ambayo kwa kiasi kikubwa...
  3. Nduka Original

    Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

    Mbunge Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda, Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamiliki kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia. Walitofautiana...
  4. Sam Gidori

    Wakuu wa nchi za Afrika waliofariki wakiwa madarakani kuanzia mwaka 1960 - 2021

    Mwaka 2021, Tanzania inaomboleza kifo cha kiongozi wake wa nchi aliyefariki akiwa madarakani, John Pombe Magufuli aliyefariki kwa ugonjwa wa moyo. Hii hapa orodha ya Wakuu wengine wa nchi za Afrika waliofariki wakiwa madarakani kuanzia mwaka 1960 hadi 2021. Mwaka Nchi Kiongozi Sababu 2021...
Back
Top Bottom