faris buruhani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 Faris Buruhani Aongoza Bonanza la Mtani wa Jadi, SIMBA vs YANGA Kata ya Nyakibimbili

    Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Ndugu Faris Buruhani, ameongoza BONANZA la mpira wa miguu kati ya timu za mashabiki wa Simba na mashabiki wa Yanga iliyochezwa katika uwanja wa shule ya Msingi Lyamahoro, katika kata ya Nyakibimbili. Ndugu Faris, amelitumia Bonanza hilo kuwashukuru wananchi...
  2. LGE2024 UVCCM Kagera Faris Buruhani: Viongozi wa dini wahimizeni waumini kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

    Wakuu, Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera Comrade Faris Buruhani, ameungana na Waislamu wa wilaya ya Missenyi na Mkoa wa Kagera kwa ujumla katika Maulid ya Bwana Mtume Mohammad [s.a.w] iliyosomwa katika Kata ya Kyaka wilaya ya Missenyi mkoani Kagera. Kupata taarifa na matukio ya kimkoa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…