Karibuni humu kutuma picha Yako yoyote ya kuvutia, kufarahisha, pia hata kupunguza msongo wa mawazo. Mfano ukiwa na stress au msongo wa mawazo unaweza kutembea sehemu yenye miti au maua au misitu na mito kwa ajili ya kupata hewa Safi na Kufanya meditation (fikra kwa kuvuta hisia Fulani). Hata...
Mwanamuziki wa hip hop Fat Joe ametunukiwa PhD ya heshima na Chuo cha Lehman kilichopo nchini Marekani. Fat Joe ameshukuru sana kwa kupewa heshima hiyo na kusema haikuwa rahisi kufika alipo kutokana na mazingira magumu aliyokulia...
KAMA UKO SERIOUS;
Sidhani kama uko serious na hii biashara utashindwa kuchukua hii ps4.
Chukua ps4 fat, ina game la GTA
Imechipiwa,
Bado mali ni mpya tuu.
Pad hizo apo ni mpya.
Kwasababu halina game la mpira naliuza kwa 450k top.
Ila, kama uko dar nakupa connection pa kwenda kuweka games bure...
ZIJUE FAIDA ZA MAFUTA YA SAMAKI MWILINI 🦈OMEGA 3 FAT ACIDS
Mafuta haya ya samaki, yana vitu vikuu viwili ikiwemo EPA & DHA ambayo husaidia ku-regulate pressure ikae kwenye level yake.
Faida za kutumia mafuta ya samaki(omega 3)
1) AFYA YA MFUMO WA MZUNGUKO WA DAMU.
👉Mafuta ya samaki yenye...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu amejipambanua kuwa mpenda michezo na amekuwa mara kadhaa akiunga mkono sekta hii kwa vitendo akitoa hamasa na zawadi mbalimbali kwa michezo tofautitofauti.
Tumeshuhudia Serikali yake ikiondoa kodi katika nyasi bandia ili kuboresha viwanja...
Ordinarily, when a company declares to its shareholders that it is paying them dividends, it is understood to have made a profit, and that the dividend being shared among the shareholders represents a percentage of that profit in the year under consideration. That is corporate governance 101...
Hard Disk: 500GB
Model: CUH 1003A
Build: PS 4 Fat
Games: Call of Duty, Pes 20, Need for Speed, GTA, Batman Injustice 2 na Mortal Kombat.
Controller Pad: No
Asking Price: 580,000
Location: Dar es Salaam
Contacts: 0757143214/ PM
NB: Mashine inatumia system ya HEN
Habari wajuvi, natumaini hamjambo
Katika pitapita zangu mitandao mbalimbali ya kijamii kusaka bidhaa used nimekuta bei ya ps4 fat used kati ya 500k - 550k tofauti na ps4 slim na pro ambazo bei ni kati ya 650k - 950k
Wakuu nataka ninunue ps4 fat kwa matumizi ya biashara je itanifaa au zina...
Medani ya soka nchini imepata pigo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Alhaji Muhidin Ndolanga kilichotokea leo jioni Dar es Salaam
Ofisa habari wa TFF, Clifford Ndimbo ameiambia Mwanaspoti kuwa kifo cha Mzee Ndolanga kimetokea katika Hospitali ya TMJ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.