fatma kigondo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Madeleka aitupia lawama mahakama kesi ya Afande Fatma Kigondo anayekabiliwa na tuhuma za kuratibu ubakaji wa "Binti wa Yombo"

    Anayetajwa kuwa Afisa wa Jeshi la Polisi, Fatma Kigondo, amejikuta akihusishwa na tuhuma nzito za kuratibu tukio la ubakaji wa kundi na ulawiti wa binti anayeishi Yombo Dovya, Dar es Salaam. Tuhuma hizo zinamweleza kuwa aliwatuma vijana wanne, akiwemo askari wa vyombo vya usalama, kutenda...
  2. L

    Wakili Peter Madeleka ashindwa kuhudhuria kesi ya 'Fatma Kigondo' kwa kuwa amekosa pesa ya kuendeshea kesi

    Wewe umejinasibu kuwa utafungua kesi kwa gharama zako hadi uhakikishe kesi ya Afande unashinda, watu wakakupongeza sana, leo kesi inatajwa huko Dodoma unapost kwenye page yako kuwa hujaenda kwa sababu huna hela. Uko serious kweli? Wewe na kiboko ya wachawi mna tofauti gani? ======= Soma...
  3. BARD AI

    Jeshi la Polisi limekamilisha Uchunguzi dhidi ya Fatma Kigondo, jalada liko kwa DPP

    Jeshi la Polisi limesema limeshafanya Uchunguz wa kina dhidi ya Afisa wa Polisi anayetajwa kwa jina la 'Fatma Kigondo' ikiwa ni pamoja na kupata maelezo ya watu mbalimbali Kwa mujibu wa taarifa ya Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime, imeeleza kuwa Jeshi limeshachukua maelezo ya Afisa huyo...
Back
Top Bottom