Rafiki yangu mpendwa,
Kuna watu huwa wanabana sana matumizi, wanakuwa na ubahili mkubwa kwenye fedha zao, lakini bado wanashindwa kujenga utajiri.
Watu hao huwa wanajisifia mbele ya wengine jinsi ambavyo hawana matumizi mabaya na ya anasa. Wamekuwa wanawaona wale wanaokuwa na matumizi makubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.