fedha ya kujikimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Yohimbe bark

    Baada ya kumaliza chuo ulifanya biashara gani ili kujikimu na maisha kabla ya ajira?

    Habari wakuu, mimi mpaka Sasa nafanya biashara ya dagaa japo msoto bado mkali ila maisha yanaenda kibishi.
  2. A

    KERO Bodi ya Mikopo kuchelewesha fedha za kujikimu (Boom) kwa wanafunzi

    Tunaomba Mtusemee! Hawa bodi ya mikopo Kuna figisu wanafanya mara ya kwanza walisema tarehe 20 Mei watatoa mikopo, lakini tarehe ishirini ikafika kwa SAUT Mwanza wakasema tuende tukahakiki account zetu za benki. Tukaenda hapakuwa na uhakiki, Ilikuwa ni kusaini makaratasi tu. Juzi wamesema...
Back
Top Bottom