fedha za kujikimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Kada ya Afya - Halmashauri ya Kilosa hatujalipwa fedha za kujikimu, tumeambiwa hadi hali ya fedha itakapotengemaa

    Sisi Watumishi wa Umma ambao ni waajiriwa wapya Serikalini katika Kada ya Afya, Halmashauri ya Kilosa Mkoani Morogoro tuna changamoto ya kutolipwa stahiki zetu za fedha za kujikimu na majibu tunayopewa yanatukatisha tamaa. Huu ni mwezi wa tatu sasa tunafuatulia malipo hayo, awali tuliambiwa...
  2. K

    KERO Changamoto ya kupata fedha za kujikimu kutoka HESLB ni janga kubwa Kwa wanafunzi walio Appeal, mtandao hakuna

    Tangu kuzinduliwa Kwa application Mpya ya kusaini pesa za kujikimu maarufu kama HESLB wallet mtandao hakuna watu wamepewa pesa lakini wanashindwa kusaini kutokana na tatizo la mtandao.. Ukienda HESLB head quarters wanasema mtandao hakuna. Sasa mnataka watu waishije jamani njaaa imekuwa njaaa...
Back
Top Bottom