ACTwazalendo tunataka CAG afanye Ukaguzi maalum wa Fedha za Muungano, Mapato, Matumizi na Fedha zinazobakia, ili kubainisha mgao sahihi na fedha ambazo Zanzibar inastahiki kupata.
Naibu Waziri Kivuli wa Fedha
Shangwe Ayo
#Maumivuyanaendelea
#Bajetiyawalanchi