Felicia Nuna Akosua Tawiah better known by her stage name Feli Nuna (/f3li nuna/; born May 20) is a Ghanaian rapper, singer, songwriter director and producer. She signed her first record deal as 'Felly' with Lynx entertainment in 2012 and released her first official single 'Ghana Girl Swag' but disappeared off the scene for personal reasons and later resurfaced in 2015 under Beehyve Entertainment. Under Lynx Entertainment, she released ‘Ghana Girl Swag’ with the hit single "I like am". She then resurfaced with a new rebrand as Feli Nuna in 2015 under Beehyve Entertainment her former label with 'I like Am' and has been active since then. As a performer, she has exhibited on local and international platforms including The Ghana Music Awards Nominees Concert (2016 4Syte Music Video Awards (2016), and performed on at Coke Studio Africa (2016), Yaws Fashion Show (Gambia 2017), Asia-Africa Youth Festival (China, 2017)..
Hii imekua ikionekana dhahili kabisa vijan wengi wakion kua umeangukia katika kilimo wanakuona umeshafeli kabisa hauna maajabu wandai
Na wamekua wakiona kazi ya kilimo ngumu saana
Hapana hii sio kweli kilimo so ngum kama tunavozania sio Kila mkulima hushika jembe Kwa maana unaweza ajili jaman...
Wasaalam wanabodi,
Miaka ya nyuma ile barabara tulikuwa tunaitumia vizuri tu.
Akaja mtu na mawazo yake ya kujiimarishia ulinzi akaamua kuifunga bila taarifa zozote.
Sasa kwa kuwa ni awamu ya sita, tunaomba serikali yetu tukufu chini ya Rais Samia mtufungulie ili tuweze kurahisisha mizunguko...
Nilizingatia msimamo tuliokuwa nao COVID-19 ilipoingia nchini kwa mara ya kwanza, nilikuwepo wakati wa wimbi la pili la maambukizi, na nashukuru pia nipo kipindi hiki cha wimbi la tatu la maambukizi na hatua zinazochukuliwa.
Najiuliza je, tulifaulu au kushindwa awamu ya kwanza ya COVID-19, na...
Sijui ilianza sukari, uhakiki, kodi za hovyo, makinikia, mbaazi, korosho, ndege vyote hivyo Rais wetu anashindwa vibaya sana na hii ni kutokana na one man show.
Ngoja niwapeni kuhusu mbaazi. Aliyekuwa msambazaji mkuu wa zao hilo kule kwa wahindi alikuwa Yusuph Manji. Serikali ikampiga stop...