Wakuu,
Tunaendelea katika episode nyingine ya Mama anaupiga mwingi na kunenepesha ng'ombe siku ya mnada!
=====
Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mjini, Felician Mtahengerwa, ameendelea na ziara zake katika kata za Murieti, Olasiti, na Osunyai, akiwahamasisha wananchi kudumisha amani na mshikamano...