ferre gola

Ferré Gola (born March 1976), also Ferre Gola, whose full name is Hervé Gola Bataringe, is a musician, singer, and songwriter from the Democratic Republic of the Congo (DRC). He was a member of legendary Congolese bands, Wenge Musica, Wenge Musica Maison Mère and Quartier Latin International. With his exceptional vocal prowess, stage presence, and compelling compositions, he has solidified his position as one of the leading figures in the contemporary Congolese music industry.

View More On Wikipedia.org
  1. Eli Cohen

    Nani ni mfalme wa Rhumba kwa sasa. Ferre Gola au Fally Ipupa.?

    FERRE GOLA: https://youtu.be/lmMoO456gXw?si=1FxvRZ5BF_2wg4nw https://youtu.be/jUc80c6IpqI?si=rYF94acrDLLggmhe https://youtu.be/M4Eho6jM_3A?si=5ZUeljiagHvM-waj https://youtu.be/cZVtH6S34wU?si=CuQJy_-MPm-DL0Dn https://youtu.be/BsU9lbPCZUQ?si=zYaSYV8bsRFIQsJT FALLY IPUPA...
  2. King faisal

    FERRE GOLA -Plus jamais seuls(Never alone again)

    Kwa wale wapenzi na mashabiki wa Ferre Gola Le padre, aliyebarikiwa sauti nzuri na kipaji kikubwa cha kuimba mziki mzuri wa Rhumba kutoka DRC CONGO. Masaa 22 yaliyopita kutoka kwenye akaunti yake ya youtube, ameachia nyimbo nzuri inayoitwa plus jamais seuls. Inayozungumzia vita...
  3. Mto Songwe

    Nipo hapa nakula album ya "Dynastie ii vol. 1" aisee Ferre Gola anajua

    Siku ya leo nimeamka na mzuka wa rhumba sasa katika pitia pitia za wasanii wakongo nikapitia album hii mpya ya ferre gola iitwayo Dynastie ii vol. 1 aliyotoa mwaka huu mwezi oktoba. Aisee ferre gola anajua balaa sio kwa hii mikwaju iliyohumu kama huu wa Visas ni balaah.
  4. Mto Songwe

    Kati ya 100 kilos ya Ferre Gola VS Associe ya Fally Ipupa ipi ilikuwa na bado ni ngoma kali

    Kuna hizi ngoma kali mbili za hawa miamba kutoka Congo Associe ya Fally Ipupa na 100 kilos ya Ferre Gola. Mbivu na mbichi itajulikana. Ni ngoma ya mkali gani imenyooka vizuri upande wako kati ya Associé - Fall Ipupa [Intro] Assoc, associé L'empereur Tchatcho Mbala Kashogi Ba diamants ebele...
  5. EJM_

    Kizazi cha sasa cha Rhumba nani mkali kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola?

    Kwenye muziki wa kisasa wa Rhumba hasa kutoka DRC Kuna wanamuziki wawili wanaoshindana kwa ukaribu sana. Je nani kati Yao ni mkali kwa mtazamo wako kati ya Fally Ipupa na Ferre Gola? Hapa nitataja baadhi ya nyimbo zao ambazo ukiweza kuzisikiliza zinaweza kukupa mwanga wa kuamua kwenye hili...
Back
Top Bottom