Wakuu kwema,
Watu wasiyojulikana siyo maneno mageni kwetu, na mambo haya yameanza kitambo kuanzia enzi za Kikwete na Ulimboka (kusoma tukio hilo zaidi hasa kwa Gen Z soma hapa - Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana aliyetekwa na watu wasiyojulikana...
fichuawatuwasiyojulikana
polisi vs watuwasiyojulikana
ukatili wa polisi
utekaji na mauaji
vitendo vya utekaji
wasiojulikana
watu wasiojulikana
watuwasiyojulikana