About the ICRC
The International Committee of the Red Cross (ICRC) works worldwide to provide protection and humanitarian assistance to people affected by conflict and armed violence. We take action in response to emergencies and at the same time promote respect for international humanitarian...
Habari zenu Wakuu
Niende moja kwa moja kwenye mada husika
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam, Mwalimu Nyerere Main Campus.Ninaomba msaada wa kupata eneo la kufanyia mafunzo kwa vitendo kwa kozi ya Economics and Statistics
Msaada wako unaweza kuwa wa kuniunganisha moja kwa...
Habari,
Naomba kwa yeyote anaejua kampuni au sehem nyingine ambapo wanapokea wanafunzi wa field kwa kozi ya degree of marketing and public relations mkoa wa Mbeya.
Wanajaamiii naomba mnisaidie kupata msaada wa kujua maeneo ambayo naweza kufanya field mkoa wa mwanza kozi Ni electrical and railway electrifriction engineering 🙏
International Field Exploration and Development Conference (IFEDC) 24-26 September 2025
📅 24-26 September 2025 | 📍 Beijing, China (Online & Offline)
Dear Colleagues,
We are pleased to invite you to participate in IFEDC 2025, an internationally recognized platform for exchanging ideas in the...
Habari za muda huu wanaJf.
Kama kichwa kinavyojieleza,nina mdogo wangu anasoma "Bachelor of Project planning and community dvt" anatafuta taasisi ya kufanya mafunzo kwa vitendo(field) mkoa wowote Tanzania.Hivyo basi nimekuja kwenu naamin nitapata msaada wenu members wa humu juu ya hili suala...
Amefanya kazi nzuri sana pale BAZECHA na anaendelea kufanya kazi nzuri zaidi pale BAVICHA. Ni matumaini ya kila mwanachadema mzalendo kwamba, the field marshal matonya engr. Benson Kigaila hatakosea BAWACHA na kamati kuu kama kawaida yake, and the mission will be successful completed.
kibaraka...
Katika maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar, jina la Sheikh Abeid Amani Karume linabaki kuwa nembo ya maono jasiri yaliyobadilisha visiwa vya Karafuu katika Bahari ya Hindi.
Kama kiongozi wa Mapinduzi ya mwaka 1964, Sheikh Karume aliongoza mabadiliko makubwa yaliyovunja mizizi ya...
I am writing concerning the subject mentioned above. I am a graduate with a degree in Business Information Technology, seeking any opportunity to learn and gain practical experience in line with my career. Although I acquired extensive knowledge during my time at university, I am eager to find a...
Wana-Kigamboni tufanye Jambo moja tu. Kura zote kwa Komredi DAB
Kuhusu kifo cha mbunge wa Kigamboni, soma TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile afariki Dunia
Yanga kufungwa mechi mbili tayari mwandishi anamuuliza kocha kama bado Yanga wapo kwenye mbio za ubingwa.
Kwenye round ya 10 kupoteza pointi 6 tu tayari mwandishi haioni Yanga kwenye nafasi ya kugombania ubingwa.
Hii sijawahi kuiona popote pale na imenistua.
Huyu mwandishi inawezekana lengo...
Me naumia kuona watu waliosoma katika mazingira ya shida, ada za shida pia kwa sababu ya mazingira kutokuwa rafiki wanaishia kupata alama za kwenda diploma..mfano diploma ya ualimu.
Then anamaliza badala ya kupata ajira direct anapo apply anakwama kwa sababu mbali mbali...kwanza kupata ajira...
Habari wana JF nimepokea malalamiko kutoka kwa mwanafunzi X wa diploma in engineering under government sponsorship.
Awali kama serikali ilivopendekeza kufutwa kwa Tuition fee kwa wanafunzi hao wa uhandisi ngazi ya stashada pia inafuatiwa na kupewa hela ya kujikimu wakati wakiwa mafunzo kwa...
Kuna kipindi nilikuwa ninahisi maumivu kwenye jino la mwisho, nikaenda hospitalini kupiga xray ikaonekana nina jino chini ya fizi, inabidi litolewe.
Nikaweka appointment ili niende kesho yake kulitoa.
Asubuhi na mapema nikawahi hospitalini, Daktari nilekutana nae ni kijana mdogo mwenye rika la...
Hello, ladies and gentlemen wa jamii forum , Kama uzi unavojielezea hapo juu . Nina live example . Mimi ni mwanafunzi wa sheria, Jumatatu nilipeleka barua ya field katika mahakama ya wilaya X hawakuipokea wakaniambia nafasi zimejaa katafute sehemu zingine na kunirudishia barua yangu ...
Wakuu kijana wenu hapa...
bado napuyanga tuu sehemu nilizoomba zote wamesema zimejaa sasa naimani hapa naweza pata connection..
Tena nipate huko dasalam wakuu 🙏 🙏 DR HAYA LAND
BICHWA KOMWE -
Mbaga Jr
We are seeking highly motivated and detail-oriented Data Collectors/Enumerators to join our team for future projects in Tanzania with experience in collecting quantitative and qualitative data and interviewing.
Responsibilities
Conduct surveys with project beneficiaries using a mobile data...
Salaam shalom!!
Maandiko yanasema vita na uasi ulitokea Mbinguni, ndipo Dunia ikaumbwa tukaletwa hapa Kisha shetani pia akatupwa huku tulipo Ili vita iendelee,
Tafsiri hapo ni kuwa, battle ground ya vita ilihamishiwa duniani, sasa twende mbele kujua mambo kadhaa wa kadhaa.
Mifumo yote ya...
Wakuu habari zenu?
Naomba kujua endapo kuna mtu huwa anafanya malipo yake kwenye POS machines kwa kutumia simu ambayo tayari ina support matumizi ya NFC(Near Field Communication) Technology.
Kwa sasa banks nyingi Tanzania zinatoa cards zenye uwezo huo lakini sina hakika kama mifumo yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.