Habari zenu wadau wa JamiiForums!
Leo nimekuja na mada 🔥 inayogusa maendeleo yetu kama Waafrika. Tumeona dunia ikibadilika kwa kasi kutokana na teknolojia, lakini swali ni moja: Kati yetu Waafrika na mataifa mengine ni nani mwenye teknolojia zaidi?
Tukitazama historia, Afrika ilikuwa na...
Weengi wanaamini mweusi ni mpenda njia za mkato 'shortcuts' tena hata hajali kama kuna mahali anaharibu au kuna watu anawaumiza
Weeengi humu wanaamini mtu mweusi ni ungaunga mwana
weengi humu wanaamini mweusi ni mtu wa dilidili za hapa na pale za kimjinimjini yaani almradi bora liende
weengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.