fikra kwa waafrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Davidmmarista

    Nani mwenye Teknolojia zaidi? Sisi Waafrika au wenzetu?

    Habari zenu wadau wa JamiiForums! Leo nimekuja na mada 🔥 inayogusa maendeleo yetu kama Waafrika. Tumeona dunia ikibadilika kwa kasi kutokana na teknolojia, lakini swali ni moja: Kati yetu Waafrika na mataifa mengine ni nani mwenye teknolojia zaidi? Tukitazama historia, Afrika ilikuwa na...
  2. Braza Kede

    Kwanini wengi wanaamini mtu mweusi ni mbabaishaji na asiye na uwezo? Tatizo nini wakuu?

    Weengi wanaamini mweusi ni mpenda njia za mkato 'shortcuts' tena hata hajali kama kuna mahali anaharibu au kuna watu anawaumiza Weeengi humu wanaamini mtu mweusi ni ungaunga mwana weengi humu wanaamini mweusi ni mtu wa dilidili za hapa na pale za kimjinimjini yaani almradi bora liende weengi...
Back
Top Bottom