AINA ZA FIMBO
By
Frumence M Kyauke
Fimbo ni kijiti kirefu ambacho kinatumika kwa namna nyingi ili kufikia mbali kuliko mkono wa mtu. Kwa mfano fimbo hutumika kuua nyoka au kutoa adhabu kwa kuchapa mtoto kutokana na kosa fulani.
Hizi ni aina za fimbo na matumizi yake:
Mpapure
Fimbo ya kungwi ya...